TANESCO Naona wamefeli kutuweke umeme stable mitaa ya ILALA toka toka tarehe 29/1/2016 unakatika Zaidi ya mara kumi
Inaonekana kazi waishindwa ukiwauliza majibu “HATUJAJUA TATIZO LIPO WAPI BADO TUNAFUATILIA”whaaaaaaaaaaaaaaaat inafika wiki sasa hawajui tatizo lipowapi?
Umeme mpakali lini matatizo yataishaaaaaaaaaaaaaa
Pia wanaweka General line ya Airtel siku zote haipatikani na ipo kwenye tovuti yenu mnamaanisha nini 0784 768 586
View attachment 321078
TUMBUA HILI JIPUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
Rais Magufuli TANESCO JIPU LIMEIVAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA[/QUO
Tanesco Kibaha Na Kinondoni pia kuna Uvimbe, inabidi upasuliwe, Umeme hauna nguvu hata kidogo bora kutumia solar power