Prof Muhongo ni MUONGO au ANATANIA!!

Prof Muhongo ni MUONGO au ANATANIA!!

Tatizo liko wapi, unajua vigezo vya ukuaji uchumi ni Tofauti na Ustawi wa Jamii? Yule Profesa keshasema yeye haongelei porojo kama unazoleta hapa? Economic Growth na Welfare of Society ni Vitu viwili tofauti sio kwa Tanzania ni Dunia nzima ila Kwa kuwa wewe ni bwe.gwe ukatupa kalamu na kurukia ki laptop/PC chako kuwahi kuleta uj.inga wako. Thibitisha kuwa uchumi haukui kwa kiwango hicho, Hata Tafiti za WB na IFM zinasema the same thing, Ukuaji wa Uchumi hauzungumzii Mlo mmoja au kuishi chini ya Dola moja kwa siku hayo hayana uhusiano na Economic Growth, Shule mlipata vyeti badala ya elimu basi walau muwe mnazurura Mtaa GOOGLE mnaweza mkaziba viraka ya u.jinga vilivopo kichwani. Hapo kwenye Red umemlisha maneno Profesa Vipimo vya ukuaji wa uchumi havitumii vipimo vya CENTEMETR.

LAPROFESERI JAMANI TULIENI NDIYO TANZANIA HII 1+1=11 NOT 2 :yell:
 
Na wewe unaunga mkono U profesa wa mtu unapimwa kwa Typing Error? Ina maana Profesa ulimi ukiteleza akajirekebisha hapo hapo basi unabeba pale alipoteleza ulimi unaleta thread ya kumvua u Profesa? U profesa haumfanyi kutofautiana na maumbile ya kibinadamu kama vile kukosea au ulimi kuteleza! Msiwe mnatuletea maneno ya Salun jukwaani!

Mkuu, hakika ukipenda chongo utaita kengeza!

Kweli kwa profesa wa sayansi ya miamba, ambaye vipimo vya urefu ndiyo lugha yake asijue sentimeta ni kitu gani hadi akichukulie kama kipimo cha ukuaji wa uchumi halafu useme eti ulimi umetereza bila kutilia shaka???!!! Hakika TZ haiishi vituko.

Kweli inawezekana msomi kama daktari wa tiba, aseme joto la mgonjwa huyu ni juu sana kiasi cha kufikia kilogramu 45!!!, halafu aseme ulimi ulitereza, nawe kama zuzu ukubali bila kutilia mashaka? Mhh, hapo kazi ipo.

Nakumbuka tukiwa wadogo tunasoma shule za msingi na upili, tulipata kudokezwa kwamba ukiona mwalimu wenu ni mkali sana na au ana mbwembwe sana akiwa darasani, basi ujue huyo mwalimu ni mtupu kichwani, na anaficha kasoro zake kwa stahili hiyo.
 
Elimu yake haikumsaidia sana, mbwembwe zake zinakera na tayari ameshalewa madaraka! ..nashangaa bunge limekuwa siasa, anabaki anaweweseka na ccm, kuna kipindi pia ilisema "hoja za upinzani na hoja za ccm"? ...sipati picha na sielewi maana yake!
Unaweza kuwa msomi lakini uwezo wako wa kutafakari nakuukubali ukweli ukawa duni!!!!!!!!!
Hawa wamezoea taarabu na mipasho, ...a lunguage which a gentleman cannot speak very well! ....taarabu? ...mipasho?
 
Back
Top Bottom