Prof. Muhongo atoa udhamini kwa vijana watano kusoma PhD (coal geology) nchini China

kumusoma

JF-Expert Member
Feb 3, 2014
567
893
TANZANIA'S COAL SPECIALISTS: Ni kwa masikitiko na uchungu mkubwa kumpoteza Dr Pascal Semkiwa ambae alikuwa Mtanzania pekee mwenye PhD ya Coal Geology.

Tunatafuta vijana 5 wenye Masters kwenda kusoma PhD (coal geology) nchini China kuanzia Sept 2017 (mwakani). Ubalozi wa China umekubali kuungana nasi kwenye kuondoa ombwe hili la utaalamu wa coal. Vijana watume CV zao kupitia baruapepe kwa J Kumburu:
(josephkumb@gmail.com)
S Muhongo, WNM
 
TANZANIA'S COAL SPECIALISTS: Ni kwa masikitiko na uchungu mkubwa kumpoteza Dr Pascal Semkiwa ambae alikuwa Mtanzania pekee mwenye PhD ya Coal Geology. Tunatafuta vijana 5 wenye Masters kwenda kusoma PhD (coal geology) nchini China kuanzia Sept 2017 (mwakani). Ubalozi wa China umekubali kuungana nasi kwenye kuondoa ombwe hili la utaalamu wa coal. Vijana watume CV zao kupitia baruapepe kwa J Kumburu:
(josephkumb@gmail.com)
S Muhongo, WNM
safi sana Mh. Muhong. Wachaguliwe watu kwa uwazi na fairness. Hatutegemei majina ya mkoa mmoja tu. Just saying as namuheshimu sana Muhongo kwa uchapaji kazi wake.
 
TANZANIA'S COAL SPECIALISTS: Ni kwa masikitiko na uchungu mkubwa kumpoteza Dr Pascal Semkiwa ambae alikuwa Mtanzania pekee mwenye PhD ya Coal Geology. Tunatafuta vijana 5 wenye Masters kwenda kusoma PhD (coal geology) nchini China kuanzia Sept 2017 (mwakani). Ubalozi wa China umekubali kuungana nasi kwenye kuondoa ombwe hili la utaalamu wa coal. Vijana watume CV zao kupitia baruapepe kwa J Kumburu:
(josephkumb@gmail.com)
S Muhongo, WNM
Why not Europe (western), USA, Australia, Canada
 
TANZANIA'S COAL SPECIALISTS: Ni kwa masikitiko na uchungu mkubwa kumpoteza Dr Pascal Semkiwa ambae alikuwa mtanzania pekee mwenye PHD ya Coal Geology. Tunatafuta vijana 5 wenye Masters kwenda kusoma PHD (coal geology) nchini China kuanzia Sept 2017 (mwakani). Ubalozi wa China umekubali kuungana nasi kwenye kuondoa ombwe hili la utaalamu wa coal. vijana watume CV zao kupitia baruapepe kwa J Kumburu:
(josephkumb@gmail.com)

S Muhongo, WNM
 
Inamaana china wana elimu nzuri sana?
Kwanini sio Colorado School of Mines?
 
safi sana Mh. Muhong. Wachaguliwe watu kwa uwazi na fairness. Hatutegemei majina ya mkoa mmoja tu. Just saying as namuheshimu sana Muhongo kwa uchapaji kazi wake.
Utakosaje kumuamini wakati wewe ni mshika dau wake?
 
Back
Top Bottom