PROF Muhongo arudi na mgawo

PROF Muhongo arudi na mgawo

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
nakumbuka kabla Simbachawene hajapewa uwaziri baada ya mh kujiuzulu kuhusu kashfa ya Tegeta, kulikuwa na mgawo balaa, kwa siku kadhaa kuelekea uchaguzi mgawo ulikoma, baraza jipya la mawaziri limetangazwa mgawo umeanza tena maradufu leo ni siku ya tatu ubungo umeme unakatika mchana kutwa morogoro pia ni balaa ...wanafunzi wanashindwa kusoma.....nacho jua mimi prof anauwezo mkubwa sana kiutendaji sasa sijui huenda wanamuhujumu au siju nini aise.
 
tena mgawo usio na taarifa yoyote alafu anaahidi atanunua umeme kutoka Ethiopia.
 
Maaajabu ya mgao tulishayaona.....naamini mgao hapa Tz hauwezi kuisha maana tumeufanya ndugu na tunaishi nao vizuri tu kiroho safi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom