Kila mtu ana wakati wake wa Kufanya kazi, huu ni wakati wa muhongo
naona wewe Mgope na mwenzako Ajol hamumuogopi Mumgu ila mnataka kutuleta mtu MFU hapa JF tupigwe BAN au tuvunje Sheria za Mitandao.Ajol katoa data sasa wanaopinga si nao walete data.
Napenda kutoa mwanga na historia ya waziri wa Nishati na madini Bwana William Ngeleja na mtandao wa kifisadi wa Rostam Aziz na Pius Msekwa. Bwana Ngeleja aliwekwa na mafisadi kama mwanasheria wa VODACOM (T) LTD mpaka mwaka 2005, chini ya wakurugenzi wake akiwamo ROSTAM AZIZ, PIUS MSEKWA kama mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Peter Noni kama wakurugenzi wazalendo wa VODACOM.
[*]https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-rweyemamu-kwenye-suala-la-dowans.htmlhttp:/
[*]/www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/103015-historia-ya-mtandao-wa-kifisadi-baina-ya-william-ngeleja-rostam-aziz-pius-msekwa.html
hakuna kipindi ambacho umeme ulikatika kama kipindi cha ngeleja, alipokuja tu muhongo hali ikakaa shwari. naamini wafanyabiashara waliokuwa wanasababisha umeme kukatika watamchukia muhongo milele.inamaana aliyoyafanya ngeleja haujaona
The Boss nakukubalia kwa 50 + 50%Karibu yote uliyo yaongea ni kweli
lakini naomba urekebishe hapo...Idrisa Rashid hakupokea amri ya kuleta mgawo
aliepokea amri ni Mhando....Idrisa aliuondoa mgao
ulikuja kuanza tena alipo ondoka na kuingia mhando chini ya maelekezo ya Ngeleja
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/39663-dk-rashid-na-mabosi-wake-hawakuiva.htmlHata hivyo Ngeleja alipoulizwa kama alimruhusu Dk Rashid atangaze kuwa nchi itaingia gizani baada ya Tanesco kujitoa katika ununuzi wa mitambo hiyo, Ngeleja alisema: ?Jamani nimeshasema kwamba yote nitazungumzia siku hiyo.
Lazima tujifunze kukubali, Ngeleja kstika wakati wake alifanya makubwa
Hakuna waziri aliyefanya kile kinachopaswa kufanywa katika nchi hii, wengi hufanya kwa wanachotaka wao au wengine na sio kinachopaswa kufanywaa!!
Hivyo hata nyerere hakufanya kilichopaswa kufanywa, labda naona Magufuli anajaribu ila kwa mbali sana kwani bado kakosea sehem nyingi na muhimu mnoo!!
Mkuu yaani baba was taiga letu mwl. Nyerere hakufanya kilichopaswa ila maghufili ndiye anajaribu kufanya kinachopaswa!!! Duuuuuuuh sometimes kama Hanna komenti no bora ukakaa kimya kuliko kujidhalilsha mbele ya jamii kiasi hiki maana inaonekana una chuki binafsi na nyerere. Hats juhudi zake kupigania na hatimaye kutuletea Uhuru wa taifa letu pia alifanya kisichostahili? Only in your head!
Miaka yote amekaa wizarani kazi yake ilikuwa ni kuanzisha tu, hakuna utekelezaji? Ujinga..