MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Sijawahi ona ktk kumbukumbu zangu za viongozi wa CCM mtu BOLD na muwazi kama huyu.
Kunaonekana nuru kuhusu suala la Umeme TZ amesema muhando na mkewe na watoto wake wawili walikuwa na kampuni iliyoanza kwa Tshs 10mil. the after 8 months ikapewa tenda ya Tshs mil 850.
Amesema waliagiza spea ila sanduku lililokuja likawa la Misumari. Hv hii nchi inakwenda wapi?
Mama Rwakatare naye atajwa wizi wa umeme wa zaidi ya mil 10
Kunaonekana nuru kuhusu suala la Umeme TZ amesema muhando na mkewe na watoto wake wawili walikuwa na kampuni iliyoanza kwa Tshs 10mil. the after 8 months ikapewa tenda ya Tshs mil 850.
Amesema waliagiza spea ila sanduku lililokuja likawa la Misumari. Hv hii nchi inakwenda wapi?
Mama Rwakatare naye atajwa wizi wa umeme wa zaidi ya mil 10
Amesema kuwa St Mary Secondary Schools za Mheshimiwa Rev Rwakatare ni mojawapo wa wezi wa umeme wa Tanesco, wameiba jumla ya Tshs millioni 10 plus.
Shame on you Mheshimiwa Rev Rwakatare.