Prof. Mlambiti wa SUA - Jiwe lililosahaulika

Umenikumbusha hisia alizo nazo prof. Tarimo.
Katika Dept ya Eng. Pale sua. Inamuuma sana wanasiasa wanapoongea kuhusu miradi mbali mbali ya maji.ambayo mingi imekufa kwa uzembe wa hawa watu.

N hatarii prof tarimo naskia bado yupo ila sifa kwake haziishi na n mfuasi wa nyerere balaaa humwambii kitu
 
Mimi namkumbuka Dr. Augustine Lyatonga Mrema akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu miaka ya 90. Alikuwa ni mzee wa kutoa oda ya siku 7 na jambo linatekelezwa, alitatua migogoro sehemu mbali mbali za nchi na nina uhakika hata mgogoro wa Wafugaji na Wakulima uliopo sasa hivi pale Babati angeutatua bila tatizo. Sijui huyu Mzee yupo wapi sasa hivi. Shikamoo Dokta Augustine Lyatonga Mrema popote ulipo.
 
Prof. Pereka yuko wapi jamani. Physiologist wa kutisha. Amenijengea foundation ambayo haisahauliki kichwani kwangu. Nikienda hosp sipati shida na nikidanganywa naelewa

Uliiga na mikiki mikiki yake?
 
Kuna kipindi alikuwa anaogopwa kwamba anatema sumu.. Labda SUA waliogopa hilo... Maana ingekua enzi hzo chadema iko moto lazima angehusishwa nao
Nadhani siasa ndio zimesababisha nasikia hata uchaguzi uliopita aliwachachafya ccm katika ubunge kupitia chadema
 
Mkuu ki ukweli kuna mwaka alimuuliza mkapa swali pale freedom square.Mkapa what did i told you about re opening rural roads in my proposal?have you tried to sit with your convoy and give us the feedback.lakini wapambe wa rais walilivuruga.Lakini baadae ikaja julikana ya kuwa alimpa some proposal juu ya uchumi wa kilimo.Rais hakuwa na jibu,hakufuata ushauri wa prof Mlambiti.Kile kichwa bwana
 
Nakumbuka sana ile incidence mkuu na tena watu waliposikia Prof Mlambiti anauliza swali watu wote walishangilia sana na kiukweli walijua nini kitaulizwa
 

Mimi nimekuelewa lakini sidhani prof aliongea kiingereza hicho ulichokiandika au umemnukuu vibaya.
 
Mwaka 2005 katika maadhimisho ya Sokoine day, Profesa Mlambiti aliomba maiki na kumhoji mgeni rasmi maswali mawili, akihoji 'why' akajibiwa 'how' ilikuwa fora sana siku hiyo tukiwa kimya Freedom Square Mazimbu. Mgeni rasmi alikuwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu.
 
Prof. Mlambiti ni jembe, nakumbuka 2004 alikuwa anatoa story za kwenda kugombea ubunge 2005 kupitia chama chake flani hivi.
 
Gabagambi yupo REPOA. Alikosoa government ya Mkwere sasa Nondo hajalibiwi. Aidha Segerea au ukae kimya
Yupo SUA hivi sasa ndio mkuu wa school of agricultural economic and agribusiness baada ya mfumo wa chuo kubadilika.
 
Siku Ile Prof. Mlambiti alitia fora...!
 
Ni kweli kabisa prof Mlambiti, mzee wa Rural Economy, ni kichwa na alikuwa anapinga sana sera za mwalimu Nyerere. Yule mzee anaona mbali sana. Hv bado yupo SUA?
 
Bibi yupo bado anakimbiza cardiovascular kinoma! Alishastaafu ila kwa sasa anapiga kwa mkataba!!
Yule bibi ni kichwa. Hadi MUHAS walikuwa wanamuazima akawasaidie kufundisha. Yule mama achana naye kabisa.
 
Sembuche kwa sasa yuko kwao kigugu turian kastaafu hili n gwiji la mathematics sijawah ona alikua UDSM miaka ya 70s na akaenda Zimbabwe miaka ya 80s na baadae kwenda sua 1998 na sasa kastaafu
Mkuu we acha tu....yule baba anajua Hesabu sijapata kuona....ilitakiwa SUA wamuongeze mkataba...hawatakaa waje wampate mwalimu kama yule. Ni mzee lakini hesabu zimapanda utadhani amemeza calculator! Ile kichwa imesoma Warwick University (England).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…