Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo, amesema Utanzania hauwezi kuzungumziwa bila ya amani, akiwasihi Watanzania kumuomba mungu ili kuepuka kuizoea amani kiasi cha kupelekea kuipoteza.
Prof. Kitila amezungumza hayo akimwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, Jumatatu, Oktoba 27, 2025, katika Kongamano la Amani la Kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu lililofanyika jijini Dar es Salaam, lenye kaulimbiu “Kupiga Kura ni Haki Yetu, Kulinda Amani ni Wajibu Wetu,”,
"Huwezi kuzungumzia Utanzania bila kuzungumzia amani, ndiyo maana ku nawatu wengi huko wanashangaa kila siku amani. K isaikolojia wakati mwingine ukiwa umekaa na jambo muda mrefu kunajambo la kulizoea na kuona ni jambo la kawaida. Nawaomba Watanzania mungu atusaidie, tusizoee kuwa na amani", amesema Prof. Mkumbo.
Prof. Kitila amezungumza hayo akimwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, Jumatatu, Oktoba 27, 2025, katika Kongamano la Amani la Kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu lililofanyika jijini Dar es Salaam, lenye kaulimbiu “Kupiga Kura ni Haki Yetu, Kulinda Amani ni Wajibu Wetu,”,
"Huwezi kuzungumzia Utanzania bila kuzungumzia amani, ndiyo maana ku nawatu wengi huko wanashangaa kila siku amani. K isaikolojia wakati mwingine ukiwa umekaa na jambo muda mrefu kunajambo la kulizoea na kuona ni jambo la kawaida. Nawaomba Watanzania mungu atusaidie, tusizoee kuwa na amani", amesema Prof. Mkumbo.