PostGE2025 Prof. Mkumbo: Dira 2050 ina matarajio ya kupunguza udhibiti wa biashara

PostGE2025 Prof. Mkumbo: Dira 2050 ina matarajio ya kupunguza udhibiti wa biashara

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
"Dira 2050 imeweka matarajio mahsusi pia: kuwa na sera, sheria na kanuni wezeshi zinazopunguza udhibiti uliokithiri na zinazochochea ukuaji wa biashara za ndani pamoja na kuvutia uwekezaji wa ndani na nje; kuwa na mfumo imara wa kidijitali unaoendeleza biashara zinazochipukia kupitia sera, ufadhili, mitaji na sheria zinazoharakisha ukuaji ili kuongeza ajira na kuimarisha uchumi; kuwa na jamii yenye utamaduni wa kuweka akiba na uwekezaji kwa ajili ya kuendeleza biashara, kuongeza kipato na kuimarisha hali ya maisha; na kuwa na sekta ya umma iliyoandaliwa kuwezesha na kufanikisha biashara na uwekezaji",- Prof. Kitila.

1764324097913.png


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo akizungumza siku ya Ijumaa mkoani Dar es Salaam katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Watoa Huduma katika sekta ya uwekezaji na Kongamano la Uwekezaji lililoratibiwa TISEZA
 
Anaongelea 2050 wakati 2025 ameshiriki kuchafua hali ya hewa ya nchi. Hamtaweza ku brain wash wananchi tena. Sasa wameamka wanawachora tu.
 
Hakuna dira ya majambazi itafanikiwa hapa.

Wekezeni matako yenu, hakuna muwekezaji atakuja tumchomee mali zake.

Sisi tutaziwasha tu mpaka mtajane ni nani mmiliki halali wa mali zetu.

Mnajiingiza madarakani kwa nguvu halafu mnakuja kutuuzia ujinga wenu na mitandao yenu, sisi tuwa chekee tu.

Hizo dira mtazisahau soon, wananchi tujipange D9 tukapaze sauti watasikia tu.
 
Back
Top Bottom