Mende dume
Member
- Nov 5, 2009
- 73
- 2
huyu ni professa, mwendekeza tumbo! Wasomi wa namna hii ni wanafiki wanachosema ktk siasa ni tofauti na nini wanafundisha watu madarasani. hizo point alizozitoa yeye, ukiandika esay kwenye term paper yake unafeli takuuliza substance ziko wapi? mbona hoja hafifu? Mambo ya REDET hayo, wanaboa