Prof. Mbarawa: Serikali itanunua Rada nne (4) kuongeza ulinzi wa anga na ndege zinazotorosha madini

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
Waziri mwenye dhamana na mambo ya Uchukuzi,Mh.Prof Mbarawa Makame,amesema serikali imeamua kununua rada nne na kuziweka sehemu tofauti ili kuweza kulinda anga la Tanzania ili kuweza kuongeza ufanisi wa ufuatiliaji wa ndege za ndani na nje ya nchi zinazotumia anga la Tanzania.

Waziri Mbarawa ameyasema hayo wakati akiwa mkoani Mtwara akikagua miundombinu ya uchukuzi ya bandari na uwanja wa ndege wa Mtwara,ambapo kwa sasa uwanja huo unapokea ndege moja tu ya Shirika la Precision inayofanya safari zake kila siku kutoka Dsm kwenda Mtwara.

Hoja ya kuongeza rada nne (4) zaidi,ni kuhakikisha serikali inaweza kuliongoza vizuri anga lake na kufuatilia kwa ukaribu ndege ndogo ambazo hutua na kuondoka ktk migodi yetu huku ikiondoka na madini au kubeba mali na nyara bila taarifa sahihi.

Rada hizo mpya na za kisasa,zitasaidia kung'amua ndege zinazopita na kuruka ktk anga la Tanzania ili kuweza kuongeza mapato,kuimarisha ulinzi na usalama ktk anga na nchi kwa ujumla.

Katika ziara hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Mtwara,ndugu Mmanda,amemuomba Waziri Mbarawa,kufanya inalowezekana ili ndege za ATCL ziweze kutua ktk uwanja wa Mtwara kama ilivyo kwa ndege za kampuni ya Precision,kwani kwa uchumi wa gesi na kiwanda cha Saruji cha Dangote,ni wazi kuwa mkoa wa Mtwara una abiria wa kutosha.
 
Badala ya rada warekebishe mikataba mibovu inayopelekea kulipa 4% ya thamani watayo declare......no way utawadhibiti kwa rada,,,,,,,, hawaingiii kwa kujificha au kukwepa rada never.....sheria inawalinda....... watasema walichopata na wewe utapata chako kidogooo sanaaa na watapaaa kwa ndege zao na rada yako haina kaziii!!!
Waziri mwenye dhamana na mambo ya Uchukuzi,Mh.Prof Mbarawa Makame,amesema serikali imeamua kununua rada nne na kuziweka sehemu tofauti ili kuweza kulinda anga la Tanzania ili kuweza kuongeza ufanisi wa ufuatiliaji wa ndege za ndani na nje ya nchi zinazotumia anga la Tanzania.

Waziri Mbarawa ameyasema hayo wakati akiwa mkoani Mtwara akikagua miundombinu ya uchukuzi ya bandari na uwanja wa ndege wa Mtwara,ambapo kwa sasa uwanja huo unapokea ndege moja tu ya Shirika la Precision inayofanya safari zake kila siku kutoka Dsm kwenda Mtwara.

Hoja ya kuongeza rada nne (4) zaidi,ni kuhakikisha serikali inaweza kuliongoza vizuri anga lake na kufuatilia kwa ukaribu ndege ndogo ambazo hutua na kuondoka ktk migodi yetu huku ikiondoka na madini au kubeba mali na nyara bila taarifa sahihi.

Rada hizo mpya na za kisasa,zitasaidia kung'amua ndege zinazopita na kuruka ktk anga la Tanzania ili kuweza kuongeza mapato,kuimarisha ulinzi na usalama ktk anga na nchi kwa ujumla.

Katika ziara hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Mtwara,ndugu Mmanda,amemuomba Waziri Mbarawa,kufanya inalowezekana ili ndege za ATCL ziweze kutua ktk uwanja wa Mtwara kama ilivyo kwa ndege za kampuni ya Precision,kwani kwa uchumi wa gesi na kiwanda cha Saruji cha Dangote,ni wazi kuwa mkoa wa Mtwara una abiria wa kutosha.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ina maana kwa sasa anga letu si salama.

Kumbe kuna uwezekano hata tukavamiwa bila kujijua..

Haya ngoja tusubir sakata jingine la rada.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Whaaaat! Kuzuuuia nini mpaka mnunue lada Hawa jamaa haki ya mungu wamepagawa yaani wamelogwa pesa wapeleke nje Tu kutajirisha wazungu sie tuishi Kama mashetani.
Ndio maana wanajenga Na airport sijui wapi vile!
 
Madini yanatoroshwa kwasababu ya mikataba mibovu na sio kutoroshwa kwa ndege.
 
Waziri mwenye dhamana na mambo ya Uchukuzi,Mh.Prof Mbarawa Makame,amesema serikali imeamua kununua rada nne na kuziweka sehemu tofauti ili kuweza kulinda anga la Tanzania ili kuweza kuongeza ufanisi wa ufuatiliaji wa ndege za ndani na nje ya nchi zinazotumia anga la Tanzania.

Waziri Mbarawa ameyasema hayo wakati akiwa mkoani Mtwara akikagua miundombinu ya uchukuzi ya bandari na uwanja wa ndege wa Mtwara,ambapo kwa sasa uwanja huo unapokea ndege moja tu ya Shirika la Precision inayofanya safari zake kila siku kutoka Dsm kwenda Mtwara.

Hoja ya kuongeza rada nne (4) zaidi,ni kuhakikisha serikali inaweza kuliongoza vizuri anga lake na kufuatilia kwa ukaribu ndege ndogo ambazo hutua na kuondoka ktk migodi yetu huku ikiondoka na madini au kubeba mali na nyara bila taarifa sahihi.

Rada hizo mpya na za kisasa,zitasaidia kung'amua ndege zinazopita na kuruka ktk anga la Tanzania ili kuweza kuongeza mapato,kuimarisha ulinzi na usalama ktk anga na nchi kwa ujumla.

Katika ziara hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Mtwara,ndugu Mmanda,amemuomba Waziri Mbarawa,kufanya inalowezekana ili ndege za ATCL ziweze kutua ktk uwanja wa Mtwara kama ilivyo kwa ndege za kampuni ya Precision,kwani kwa uchumi wa gesi na kiwanda cha Saruji cha Dangote,ni wazi kuwa mkoa wa Mtwara una abiria wa kutosha.
Hii ni dili ya mafisadi. Tunasahau kabisa ya kuwa rada ya kwanza mbovu na haina msaada. Ni Bomu na hats ikifanyakazi hazina tija kwa sababu moja tu kulingana na viwango vya kimataifa hakuna jeshi LA anga kudhibiti ndege vamizi ya anga letu. Hivyo kujua matumizi ya anga letu bila kudhibiti ujue ni ufisadi unakuja na wahindi hawakosi humo......
 
Walinunua radar 40bn kutoka uk mzee wa visenti akapata visenti vyake...inamaana hiyo radar walinunua kwa gharama kubwa plus ufisadi kuchingia ngombe n mbuzi,kua mfuasi wa chama chakavu lazma uwe taahira
 
Heeee heeee tunataka kufuatilia kwa ukaribu ndege ndogo zinazotua na kuondoka katika migodi yetu duh tunafanywa kama mazuzu ivi madini sababu iko wazi kabisa jamani mpaka rada tena.
 
Waziri mwenye dhamana na mambo ya Uchukuzi,Mh.Prof Mbarawa Makame,amesema serikali imeamua kununua rada nne na kuziweka sehemu tofauti ili kuweza kulinda anga la Tanzania ili kuweza kuongeza ufanisi wa ufuatiliaji wa ndege za ndani na nje ya nchi zinazotumia anga la Tanzania.

Waziri Mbarawa ameyasema hayo wakati akiwa mkoani Mtwara akikagua miundombinu ya uchukuzi ya bandari na uwanja wa ndege wa Mtwara,ambapo kwa sasa uwanja huo unapokea ndege moja tu ya Shirika la Precision inayofanya safari zake kila siku kutoka Dsm kwenda Mtwara.

Hoja ya kuongeza rada nne (4) zaidi,ni kuhakikisha serikali inaweza kuliongoza vizuri anga lake na kufuatilia kwa ukaribu ndege ndogo ambazo hutua na kuondoka ktk migodi yetu huku ikiondoka na madini au kubeba mali na nyara bila taarifa sahihi.

Rada hizo mpya na za kisasa,zitasaidia kung'amua ndege zinazopita na kuruka ktk anga la Tanzania ili kuweza kuongeza mapato,kuimarisha ulinzi na usalama ktk anga na nchi kwa ujumla.

Katika ziara hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Mtwara,ndugu Mmanda,amemuomba Waziri Mbarawa,kufanya inalowezekana ili ndege za ATCL ziweze kutua ktk uwanja wa Mtwara kama ilivyo kwa ndege za kampuni ya Precision,kwani kwa uchumi wa gesi na kiwanda cha Saruji cha Dangote,ni wazi kuwa mkoa wa Mtwara una abiria wa kutosha.

kama hamkuona waliotoka na sandarusi za hela za Tegeta escrow Stanbic licha ya kuwa na camera , itawezekana vp ku monitor ndege wakati maafisa wa tra etc wapo migodini na wamewekwa kwa upendeleo na mipango maalum, being a professor in Tz haina maana yoyote, hata PHD
 
Hii inchi ni maskini wa akili sana, kinachomaliza ni hiyo mikataba bomu mnayosaini. Tena mnawapa watu mikatapa ili tu na ninyi mpate asilimia kadhaa.

Hivi serikali awamu ya tano, hamjui ya kwamba mmesema kuwa serikali hii ni serikali ya viwanda? Mpaka sasa hivyo viwanda viko wapi? Au ndo kununua rada ili mje mpate sababu ya kusema kuwa pesa mmetumia ktk rada mkashindwa kuwekeza ktk viwanda wakati hayo madini hayanufaishi nchi kutokana na mikataba ya kijinga mnayopeana.
 
Maswala ya radar sitaki hata kukumbuka!
Hivi ile enzi za mkapa ilienda wapi?
 
Hivi ni bunge hilili liyaidhinisha hayo manunuzi au itatumika ubabe .kwani mkuu alisema asemacho yeye hakuna kupinga.
Vipi hile ya gharama na upigaji inamaana imeshakufa?
Vipi na ile chenchi ilirudishwa au ndio wajanja washapiga?
Kweli alieturoga kafa
 
yanii sisi tunamaisha magumu nyinyi bado mnataka kununua rada .lindeni madini yetu kabla hayajachimbwa kwa kuweka uwiano mzuri wa mapato ya rasilimali zetu .kwa hiyo kama wanaweza kutorosha madini bila serekali kujua inamaana basi wanaweza hata kuleta unga na kuchukua pia !!!! dah .sisi hatuli rada wala madaraja sisi tunataka unga wa sembe na mchele kwanza alafu mambo mengine baadae
 
Back
Top Bottom