Hatushangai kwani tuumeishaambiwa remote iko msongaRais Samia anazidi kujipambanua kwa vishindo vya miradi badala ya propaganda
Kwenye bajeti ya mwaka huu tumesema wazi kuwa, tunakwenda kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Bandari ya Dar es Salaam itaendelea kufanya kazi, ambapo kwa zile meli kubwa ambazo zitashindwa kuingia katika Bandari ya Dar es Salaam zitakwenda kwenye bandari ya Bagamoyo," Prof. Mbarawa, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.
====
Quote: A woman is like a tea bag, you can't tell how strong she is until you put her in hot water
View attachment 2634213
Samia Suluhu Hassan - President of Tanzania speaking in June 2021
Kwa nini isiwepo Kwa Sukuma gang?Hatushangai kwani tuumeishaambiwa remote iko msonga
Sasa unachobisha ni nini wakati hiyo bajeti ni ya kufyeka vichaka kuzunguka eneo la hiyo bandari? Sifa ya bandari ya bagamoyo inaeleweka, kama hizo sifa za eneo la EPZ nk havipo, itakuwa na tofauti gani na bandari bubu huku ukanda wa pwani?Ni kawaida Kwa chadomo kukurupuka..
Til.23 ni pamoja na kuendeleza eneo lote la epz,sez, miundombinu msingi, financial and logistics centre na Bandari..
Sasa ujenzi umeanza ni WA Bandari,ambayo ni Kati ya components zilizokuwepo..
Mwisho Tanzania ya Samia Ina mapesa kama yote
Rais Samia anazidi kujipambanua kwa vishindo vya miradi badala ya propaganda
Kwenye bajeti ya mwaka huu tumesema wazi kuwa, tunakwenda kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Bandari ya Dar es Salaam itaendelea kufanya kazi, ambapo kwa zile meli kubwa ambazo zitashindwa kuingia katika Bandari ya Dar es Salaam zitakwenda kwenye bandari ya Bagamoyo," Prof. Mbarawa, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.
====
Quote: A woman is like a tea bag, you can't tell how strong she is until you put her in hot water
View attachment 2634213
Samia Suluhu Hassan - President of Tanzania speaking in June 2021
Huu mradi ungeshaanza tokea enzi za JK changamoto ilikua je ijengwe kwa pesa za ndani, mkopo, au muwekezaji ila bandari ilikua lazima tu ijengwe.Kwahiyo huo mradi sio kwamba unagharimiwa na wawekezaji bali tunajenga kwa pesa za kodi ya wananchi?
Miradi aliyoiacha mwendazake haijakamilika hata mmoja sababu ya uhaba wa pesa, tushaanza kupanga miradi mingine mikubwa ambayo hatujui kama italipa ama la.
Pesa za ndani mkuu otherwise watakopa ila hakuna joint venture hapo Wala muwekezaji au private sector kama mkataba ulivyokua hapo mwanzo.Je tunajenga kwa pesa zipi? Za ndani au mikopo? Kwa mkataba upi ule wa china au mwingine?
Pls Naomba mnijibu wajuvi wa mambo nikikosa majibu Bora kushabikia yanga maana inalipa na kuondoa stress za siasa za Tanzania!!
Si nyie ndio Kila siku mnasema wananchi sijui system haiwezi wapa upinzani nchi kisa watauza rasilimali, mara sijui ikulu ni mahali patakatifu Sasa ilikuaje mnakiri kuwa Kuna Rais alikua fisadi na Bado system ikamuacha atawale?Hapa inatafutwa namna ya kutukamua ili kumfurahisha Msoga.
The guy will go down in history as the only mistake we made.
Comment Bora ya uziHapa inatafutwa namna ya kutukamua ili kumfurahisha Msoga.
The guy will go down in history as the only mistake we made.
KimyakimyaKumbe imefufuka?
Sawa, naiona Dubai ya TanzaniaRais Samia anazidi kujipambanua kwa vishindo vya miradi badala ya propaganda
Kwenye bajeti ya mwaka huu tumesema wazi kuwa, tunakwenda kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Bandari ya Dar es Salaam itaendelea kufanya kazi, ambapo kwa zile meli kubwa ambazo zitashindwa kuingia katika Bandari ya Dar es Salaam zitakwenda kwenye bandari ya Bagamoyo," Prof. Mbarawa, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.
====
Quote: A woman is like a tea bag, you can't tell how strong she is until you put her in hot water
View attachment 2634213
Samia Suluhu Hassan - President of Tanzania speaking in June 2021
Ni maajab ya aina yake au anajengea sekta binafsiHizi za Dar na Mtwala anaziuza kwa Warabu kashindwa kuziendesha, ndio ajenge Bagamoyo?Haya nayo ni maajabu saba ya kushangaza dunia,
Ya kwetu ni sawa na kuiza amna tofautiPamoja na kwamba umejaa upumbavu kichwani nakusaidia hivyo hivyo..
Hakuna Nchi inauza Bandari,unaweza kununua Nchi au sehemu ya Nchi wewe?
Serikali inabinafsisha utoaji Huduma,Iko hivyo all over the World..
Kama hutaki Baki nanujinga wako tuwe tunakutana kwenye hesabu za tumepata pesa ngapi na tumehudumia mzigo kiasi gani .
Kwa niniYa kwetu ni sawa na kuiza amna tofauti
Kwanza nitoe duku duku: ile 'avatar' ya mwanzo ilikuwa na tatizo gani?Pesa za ndani mkuu otherwise watakopa ila hakuna joint venture hapo Wala muwekezaji au private sector kama mkataba ulivyokua hapo mwanzo.
Huu "upumbavu" unaomsema mwenzio kuwa nao, wa kwako huuoni kamwe!Hakuna Nchi inauza Bandari,unaweza kununua Nchi au sehemu ya Nchi wewe?
Kwani kuna sheria kwamba lazima miradi ya mwendazake ikamilike ndiyo tuanze miradi mipya?Kwahiyo huo mradi sio kwamba unagharimiwa na wawekezaji bali tunajenga kwa pesa za kodi ya wananchi?
Miradi aliyoiacha mwendazake haijakamilika hata mmoja sababu ya uhaba wa pesa, tushaanza kupanga miradi mingine mikubwa ambayo hatujui kama italipa ama la.
Nisikilize: Wanatafuta gear ya kuanzia. Ule mpango wa kutumia sijui wachina, sijui waarabu wameona ulikumbana na kelele nyingi. Hivyo basi, watajifanya kuanza kwa kutumia ''fedha za serikali'' halafu baada ya muda watatafuta muda na sababu maalum wawape hao hao waliopigiwa kelele. Mark my words. Bongo hatuna fedha za kujenga. Hii ni danganya toto tu.Kwahiyo huo mradi sio kwamba unagharimiwa na wawekezaji bali tunajenga kwa pesa za kodi ya wananchi?
Miradi aliyoiacha mwendazake haijakamilika hata mmoja sababu ya uhaba wa pesa, tushaanza kupanga miradi mingine mikubwa ambayo hatujui kama italipa ama la.