Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kwanza nikupongeze mzee wangu kwa uteuzi wako naamini Mungu hamtupi mja wake.
Mwisho nimefurahi kuona umeanza kukimbizana na TANROADS kuhusu kiwango cha lami.
Ukipata muda asubuhi nenda na vijana wa Tanroads mpaka kwa Musuguri geuzeni njoo Kimara hapa kati haya mawimbi ni aibu nilijaribu kushuka kuangalia shida ni gari ama la, lami ni mawimbi. Tumsiaidie mama jamani haya mambo ya anza twende yafe
Tunaamini ukaguzi mbalimbali mtaufanya kuangalia na lami zingine nini kinaendelea
Nawaza sana mpaka wamefika level ile na mawimbi means huko TANROADS hawana ukaguzi wakifika level fulani ya lami
Kwanini tusubiri mpaka kukabidhiwa tunakutana na vituko hivyo.
Lami ya Mwenge-Lugalo ni mawimbi matupu mpaka mtu akakabidhi leo hii tunasumbuliwa usiku na magari yanarekebisha vipande
Hii ya Kimara tusisubiri Waziri tuanze kukagua kabla hayajatukuta ya Mwenge -Tegeta
Nakutakia kazi njema mzee wangu
Mwisho nimefurahi kuona umeanza kukimbizana na TANROADS kuhusu kiwango cha lami.
Ukipata muda asubuhi nenda na vijana wa Tanroads mpaka kwa Musuguri geuzeni njoo Kimara hapa kati haya mawimbi ni aibu nilijaribu kushuka kuangalia shida ni gari ama la, lami ni mawimbi. Tumsiaidie mama jamani haya mambo ya anza twende yafe
Tunaamini ukaguzi mbalimbali mtaufanya kuangalia na lami zingine nini kinaendelea
Nawaza sana mpaka wamefika level ile na mawimbi means huko TANROADS hawana ukaguzi wakifika level fulani ya lami
Kwanini tusubiri mpaka kukabidhiwa tunakutana na vituko hivyo.
Lami ya Mwenge-Lugalo ni mawimbi matupu mpaka mtu akakabidhi leo hii tunasumbuliwa usiku na magari yanarekebisha vipande
Hii ya Kimara tusisubiri Waziri tuanze kukagua kabla hayajatukuta ya Mwenge -Tegeta
Nakutakia kazi njema mzee wangu