Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
DR Azaveri Lweitama ni mtu ambaye ni critical, objective, asiyependa viongozi wabovu kwenye nchi, kubwa kuliko yoye ni mtu na anayesimamia kwenye ukweli tu.Na hizo ndizo sifa za msomi yeyote aliyeiva kisawasawa.Hivyo kuingia kwake chadema kutakuwa na mchango mzuri katika chama hicho .Chama bado kinahitaji contigent iliojaa vichwa vyenye watu wenye kufikiri na kubuni mbinu za kukabiliana na matatizo ya watanzania, na siyo watu wanaowaza kujineemesha wao na familia zao at the expense of a vast majority Tanzanians.
hapo nilipo highlight ni sahihi kabisa lakini kama unamjua vyema au kwa wanaomjua vyema, utaona kwamba ni afadhali abaki neutral hapohapo. ili abaki na uhuru wa kuendelea kuisaidia jamii kwa namna hiyo.
Otherwise huyu jamaa kwenye mambo ya jamii hafiti vizuri. CDM mchukueni na mmpe cheo kuna siku mtafahamu kisemwacho