Hawasikiki kabisa. Kweli maisha yanaenda kasi sana. Sikuwahi kudhani kuwa Chama cha Chauma na Mgombea wake wa Urais Bw.Hashimu Rungwe wangekuwa maarufu kuliko CUF ya Lipumba au kuliko Bernard Membe.
Kwa sasa Prof Lipumba amepoteza dira kabisa. Nipo visiwani wiki sasa. CUF iliyokuwa na base imara kabisa hapa visiwani, imejifia kabisa. Haisikiki wala haionekani. Sio huku visiwani tu, bali hata Bara.
Chadema inazidi kuimarika siku hadi siku. Nguvu ya Chadema haijapungua licha ya kuzuiwa kwa hamasa za siasa kama vile mikutano etc. Licha ya waungaji mkono (sina uhakika kama walikuwa wanalipwa au kuahidiwa kitu au waliunga kwa hiari yao).
Kila kona ukipita ni aidha umsikie Lissu au Magufuli. The only two giants.
Wapi Lipumba? Wapi Membe?
Kwa sasa Prof Lipumba amepoteza dira kabisa. Nipo visiwani wiki sasa. CUF iliyokuwa na base imara kabisa hapa visiwani, imejifia kabisa. Haisikiki wala haionekani. Sio huku visiwani tu, bali hata Bara.
Chadema inazidi kuimarika siku hadi siku. Nguvu ya Chadema haijapungua licha ya kuzuiwa kwa hamasa za siasa kama vile mikutano etc. Licha ya waungaji mkono (sina uhakika kama walikuwa wanalipwa au kuahidiwa kitu au waliunga kwa hiari yao).
Kila kona ukipita ni aidha umsikie Lissu au Magufuli. The only two giants.
Wapi Lipumba? Wapi Membe?