Mwenyekiti wa CUF bw Lipumba ameichambua bajeti na kubainisha mapungufu kadhaa yakiwemo;
- Matumizi ya kawaida ya serikali (trilioni 8) ni makubwa kuliko mapato ya ndani ya serikali (trilioni 6). Kwa maana hiyo serikali itakuwa inakopa fedha kugharamia matumizi ya kawaida
- Bajeti haijaainisha mapato yatokanayo na sekta ya madini, ambapo kwa mujibu wa Bw. Lipumba, wakati mauzo ya madini nje ni zaidi ta trillion moja, mapato ya serikali katika sekta hiyo ni bilioni 40 tu
- Bajeti imeshindwa kuonyesha utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano uliozinduliwa juzi na raisi. Kwa maana hiyo ama mpango huo ni usanii, au bajeti haitatekelezwa kama ilivyowasilishwa
Source; TBC1
Baada tu ya waziri Mkulo kumaliza kuwasilisha bajeti ya mwaka huu bungeni, mwandishi wa TBC1 akiwa anawahoji wadau nje ya bunge akakutana na Prof. Lipumba (Mchumi).
Mbali na kukosoa mambo kadhaa Lipumba kasema moja ya mapungufu ya bajeti hii ni kuwa tofauti na ile ambayo serilkali iliwasilisha IMF.
Hii mi sijaelewa inakuwaje. Ina maana huwa bajeti za nchi zote duniani huwa zinawasilishwa kwanza IMF kabla hazijasomwa katika mabunge ya nchi husika!!?
UPDATED (9th June 2011):
Mwenyekiti wa CUF bw Lipumba ameichambua bajeti na kubainisha mapungufu kadhaa yakiwemo;
[LIAirport toST=1]
[*]Matumizi ya kawaida ya serikali (trilioni 8) ni makubwa kuliko mapato ya ndani ya serikali (trilioni 6). Kwa maana hiyo serikali itakuwa inakopa fedha kugharamia matumizi ya kawaida
[*]Bajeti haijaainisha mapato yatokanayo na sekta ya madini, ambapo kwa mujibu wa Bw. Lipumba, wakati mauzo ya madini nje ni zaidi ta trillion moja, mapato ya serikali katika sekta hiyo ni bilioni 40 tu
[*]Bajeti imeshindwa kuonyesha utekelezaji wa mpango wa maendeleo wa miaka mitano uliozinduliwa juzi na raisi. Kwa maana hiyo ama mpango huo ni usanii, au bajeti haitatekelezwa kama ilivyowasilishwa
[/LIST]
I just wish this Prof was alocated somewhere, where Tanzanians can benefit from his ideas
Huwa nasema mara kwa mara, Lipumba ni genius, na bahati nzuri anatupenda Watz kwa vitendo, kuacha kufaidi mapato ya elimu na ujuzi wake kutetea umma wa watanzania.
Prof ni mtu ambaye Tanzania tuna bahati ya kuwa nae.
<br />mzushi wewe , ulitaka Mbowe awe kama lipumba lipumba ni lipumba na mbowe ni Mbowe, Mbowe alisema bajeti ni nzuri japo, zirejee zile japo nakupa assignment, maana unaanza uzushi
kwa elimu hata baba Na boss wako Jk,hamfikii Lipumba,kwa uongozi thabiti Mbowe kawazidi wote!nilikua naangalia marudio ya bajeti tbc1 mara baada yakumalizwa kusomwa,waandish waliwahoji viongoz mbalimbali juu ya maoni yao, ndipo MBOWE ALIPOSEMA<br />
<br />
" NIBAJETI ILIYOSIKILIZA MAONI YETU NA ITAKAYOMFAA MTANZANIA WAKAWAIDA,MARA AKATOKEA PROF NAKUSEMA BAJETI HAIELEWEKI MATUMIZI YAMEZIDI SHUGULI ZA MAENDELEO NA HAIJUMLISHIKI,NDIPO NIKAJIULIZA HV MBOWE ANAELIMU GANI MBONA CJAWAHI KUMUONA ATASIKUMOJA AKIFAFANUA MAMBO KISOMI???,KWELI SIKUHIZI VIJANA WANAWEZAKUMPENDA MTU ETI KISA MBISHI NA AKIONGEA ANAFOKA???????/ HIYO SIYO SIFA YA KIONZOZI[NYERERE]
mbowe ana uwezo mkubwa wa kukosoa kinachotishia uwepo wake kitini na sio kwenye masuala ya msingi kama haya ya takwimu wewe, umekosea sana kumlinganisha lipumba na mbowe..........muulize amefanya tafiti ngapi hapa tz na amewakilisha paper ngapi wapi. acha kukurupuka kumlinganisha msomi na mwenye uwezo kama lipumba na watu wanaoenda kwa maandaamano eti kisa wananchi wameichoka ccm.
Haswa mkuu JakaKwa elimu hauwezi kumlinganisha Lipumba na Mbowe coz lipumba ni Prof wa Uchumi aliyefanaya kazi nyingi za kimataifa. Labda unaweza ukawashindanisha kwa mengine lakini sio kwa elimu hasa ya masuala ya uchumi.
mzushi wewe , ulitaka Mbowe awe kama lipumba lipumba ni lipumba na mbowe ni Mbowe, Mbowe alisema bajeti ni nzuri japo, zirejee zile japo nakupa assignment, maana unaanza uzushi
mbowe ana uwezo mkubwa wa kukosoa kinachotishia uwepo wake kitini na sio kwenye masuala ya msingi kama haya ya takwimu wewe, umekosea sana kumlinganisha lipumba na mbowe..........muulize amefanya tafiti ngapi hapa tz na amewakilisha paper ngapi wapi. acha kukurupuka kumlinganisha msomi na mwenye uwezo kama lipumba na watu wanaoenda kwa maandaamano eti kisa wananchi wameichoka ccm.
mbowe ana uwezo mkubwa wa kukosoa kinachotishia uwepo wake kitini na sio kwenye masuala ya msingi kama haya ya takwimu wewe, umekosea sana kumlinganisha lipumba na mbowe..........muulize amefanya tafiti ngapi hapa tz na amewakilisha paper ngapi wapi. acha kukurupuka kumlinganisha msomi na mwenye uwezo kama lipumba na watu wanaoenda kwa maandaamano eti kisa wananchi wameichoka ccm.
I just wish this Prof was alocated somewhere, where Tanzanians can benefit from his ideas
Huwa nasema mara kwa mara, Lipumba ni genius, na bahati nzuri anatupenda Watz kwa vitendo, kuacha kufaidi mapato ya elimu na ujuzi wake kutetea umma wa watanzania.
Prof ni mtu ambaye Tanzania tuna bahati ya kuwa nae.