johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,956
- 141,944
Prof Lipumba amesema kukopa kopa siyo jambo jema lakini hatuna namna kwa sababu fedha zote za ndani zinazokusanywa na serikali zinaishia kulipa mishahara ya watumishi wa umma, wabunge na kulipa deni la taifa.
Prof Lipumba ameishauri serikali badala ya kukimbilia mikopo ya kibiashara wajikite kwenye kutafuta misaada ambayo hatutatakiwa kulipa kabisa.
Prof Lipumba yuko mubashara Star tv muda huu.
Prof Lipumba ameishauri serikali badala ya kukimbilia mikopo ya kibiashara wajikite kwenye kutafuta misaada ambayo hatutatakiwa kulipa kabisa.
Prof Lipumba yuko mubashara Star tv muda huu.