Prof. Lipumba anavyodhalilishwa

Prof. Lipumba anavyodhalilishwa

Mfuate Lipumba maana kila shetani ana mbuyu wake..Wewe wako Lipimba sisi wetu tunao
 
Lipumba alivyokataa kuhongwa amekuwa adui kumbe angepokea pesa za fisadi ndiyo angekuwa rafiki.
 
hivi kuna mtu anawaza porojo???? sisi tunasonga mbele na Lowassa tafuteni kwanza ufalme wa Ikulu mengine yote tutayapata kwa baadaye october 26, ndio tutaanza kuchambua wakati magodoro ya JK wakipakiwa kutoka pahala pa UKAWA.
 
Bavicha kirefu chake ni Baraza la vichaa chadema. Hawa vichaa wameajiriwa ili kupambana humu Jf. Ni kupoteza muda kujibizana nao. Pia kina Pr. Lipumba ndio malezi waliyowalea hawa jamaa,uongo na uzushi,hivyo hakuna cha ajabu na profesa unakula ulichopanda. Hao ni nyumbu,akienda mmoja huku na hao tiiiiiiiiiim

Iv kwann nyie wa lumumba wanafiki ivo?mbona alivokamatwa na kupigwa kipigo cha mbwa mwizi hukumtetea,leo kulikon?si ajabu ht kisutu yake mmeshafuta kwa makubaliano bt matarajio yenu sivo mlivotaraji.........umeyaona ya dar leo?na mrudishe baada sa2.
 
Acha ujinga wewe, hata wewe ukizaa watoto baadae ukajaribu kuwanyonga, wema wote ulowatendea kabla unasahaulika na kupewa lawama kibao...nawe msaliti tuuuu
 
ila wajameni mbona huwa hamna fikra nje ya box..?.....mtu akiwa tofauti na wengi kimaoni kwenu hafai......hasa nyie wana UKAWA ....ulikwina???
 
pole sana kama unamfuataga huyo mwehu aitwaye yericko.
huyo fa'la ni mwehu kweli kweli. mimi nilimdharau kitambo baada ya kuzidisha uongo. nashangaa mamods wanamlea sana guyo dogo na uongo uliokubuhu.


Baada ya alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na mwenyekiti wa wenyeviti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) , Prof. Ibrahim Harouna Lipumba kujiuzulu nafasi yake ya mwenyekiti wa CUF kutokana na kutokubaliana na viongozi wengine wa chama hicho na wale wa UKAWA kuhusu kuruhusiwa kwa EDWARD LOWASSA kujiunga na Umoja huo na hatimaye kuteuliwa kupeperusha bendera ya UKAWA kwenye nafasi ya Urais, wamejitokeza watu na baadhi ya vyombo vya habari kujaribu kumdhalilisha kiongozi huo ambaye alikijengea heshima kubwa Chama chake cha CUF.

Bahati mbaya kabisa, pamoja na kwamba watu hawa wanamlengo mmoja, wanatoka chama kimoja na wanafahamiaana na hata kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, bado wameshindwa kujipanga na kuandika angalau kitu kinachofaana ili fitina zao kwa LIPUMBA ziweze kuwa na ukweli wowote.

YERIKO NYERERE anasema account ya prof. Lipumba iliyoko NMB Tawi la TEGETA kwenye jengo la AKIBA Complex imewekea pesa bil.3.5 . nilitegemea kama anajua aina ya benki, Tawi na hata jengo ambalo Prof. amewekewa pesa, basi ni dhahiri hata namba ya Account atakuwa anaijua, jina la AKAUNTI, siku na hata muda ambao pesa hizo ziliwekwa. Kutaja tu NMB , sijui tawi la Tegeta ni kutuchota akili watanzania kwa vile ni kweli kwenye jengo lile kuna benki ya NMB basi tuwamini kuwa anachoksema ni kweli.

Ni uzushi uleule ambao Yeriko alitaka kumzushia Dr. SLAA kuwa anajiandaa kukutana na secretarieti ya CHADEMA ili kupanga mikakati ya ushindi, uzushin ambao Dr. aliukanusha na kumuonya YERIKO asithubutu kuchezea jina lake.

SAID KUBENEA naye anajikanyaga na SABABU lukuki za kwanini Prof. LIMPUMBA amejiuzulu.
Mara oh, amejiuzulu ili kulinda ajira ya mmoja wa maswahiba wake serikalini, mara amejiuzulu kwa sababu ameahidiwa madaraka makubwa katika serikali ijayo endapo CCM itashinda, mara Prof. amejiuzulu kwa sababu UKAWA wamemkaribisha LOWASSA ndani ya Umoja huo. Anajikanyagakanyaga tu huku watu anaowatuhumu kufanya hivyo ni wale wale aliokuwa akiwashambulia bila ushahidi wowote tangu enzi ziiile za kmwagiwa tindikali, tangu enzi ziile za ugomvi wake na Zitto Kabwe.

Kwa kifupi kubenea hana jipaya. eti haijulikani LIPUMBA kahongwa shilingi ngapi ila inasemekana ni bil.3.7. Uongo uliokomaa, huna uhakika sasa hicho kiasi anakitoa wapi, au kwa sababu YERIKO na uzushi wake kasema bil.3.5 basi anaona naye akaribie kiasi hicho ili kutuaminisha hivyo? account ipi zimewekwa, saa ngapi, lini? na nani?
KUBENEA kama siasa zake ni nyepesi kiasi hiki atamuweza kweli DIDAS MASABURI pale Ubungo?

GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA, leo 10/08/2015 (nadhani nalo linamilikiwa na haohao), eti Prof. Lipumba alifuatwa na viongozi wa dini ya Kiislamu akishinikizwa kugombea urais kupitia CUF kwa kile kilichoelezwa kuwa na kundi hilo kuwa kuokoa kura za Waislamu zisipotee bure kwa madai kuwa vyama vya CCM na CHADEMA vimeteua wagombea Makafiri yaani Wakristo.

Hivi huku siyo kuwatukana Wailamu kweli? Ikumbukwe kuwa ujio wa LOWASSA ndani ya UKAWA umefuatiwa na TUHUMA za baadhi ya viongozi wa UKAWA kununuliwa na LOWASSA ili akubaliwe kujiunga na umoja huo.

Kutaka kufunika tuhuma hizo kwa kuwachafua Dr. SLAA na Prof. LIPUMBA ni kutowatendea haki viongozi hao ambao leo hii umaarufu wa vyama vyao unatokana na juhudi zao za kuvijenga.
 
Siku hizi kila anayeenda Kinyume na ukawa ni mtu wa system, bahati mbaya watu mnaowasingizia ni wa system hata Sio, ila watu wa system Mpo nao hapo hapo na Ndo wanaoua upinzani Tanzania kina Maalim Seif na Mbowe. Time will tell, but it will be too late to start over again
 
Jina la Lipumba linalomfaa lipumba ni au uondoe li mwanzoni au uongeze vu mwishoni
 
Alipaswa atumie akili ya kuambiwa achanganye na yake apate wazo lake, sasa director wa muvi yake kakosea script lazima akalishwe chini huyu jamaa. ukiona inakukera jidunge dawa za usingizi uamke tar 26 October 2015
 
Lakin kwann lipumba afanye mpema kaisi icho napia akimbie nchi au ndio pandikizi
 
we ji ccm toka zako yule ni prof li pumba sasa tumebaki na mahindi au mchele wacha tucheze na lowassa huo upuuz wko peleka kwa mkeo
 
hivi kuna mtu anawaza porojo???? sisi tunasonga mbele na Lowassa tafuteni kwanza ufalme wa Ikulu mengine yote tutayapata kwa baadaye october 26, ndio tutaanza kuchambua wakati magodoro ya JK wakipakiwa kutoka pahala pa UKAWA.

Mwai Kibaki aliosema" wacha wale enye napiga domo wapige domo sie nasoga belle"
 
Dead soldier dont count as It 's to late. So far. Lipumba will remain in UKAWA memories as saying Lowassa's hands are free from ongoing corrupt scandals in Tanzania.
 
Prof Lipumba amekimbizwa na kitu viwili tu ambavyo vinategemeana,
1.Prof amekuwa kibaraka wa CCM na Kikwete tangia 2010.Udini ndio kichocheo.
Hili jambo Lowassa analifahamu fika na Prof anajua kuwa Lowassa anafahamu.
Lowassa aliwatonya Maalim Seif na Mbowe kuwa wawe makini.
Mpaka hapo mazingira yalishaharibika kwa Lowassa kutokutunza siri baada ya kupokelewa! Hivyo,nafsi ilimsuta Prof na asingeweza kuaminika kwenye mikakati ya ushindi,kuepusha fedheha,lazima ajiuzulu.
2.Fedha sabuni ya roho.Baada ya kuona mazingira ya kuaminika hayapo,ikawa ni rahisi sana kwa Prof kupokea vipande 30 vya fedha ili ajifute machozi kwa kazi aliyofanya na faida anayoiacha huku akijua UKAWA wanaenda kuchukua nchi na ''uwaziri'' au ''ugavana wa BoT''wa fedha ndio huoooo umepotea
 
huyu lipumba nae pumba tupu unaukimbia mchezo wakati ulishaingia uwanjani bora na dr ambaye hakujitokeza kabisa ila lipumba amejidhalilisha tu
 
Baada ya alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na mwenyekiti wa wenyeviti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) , Prof. Ibrahim Harouna Lipumba kujiuzulu nafasi yake ya mwenyekiti wa CUF kutokana na kutokubaliana na viongozi wengine wa chama hicho na wale wa UKAWA kuhusu kuruhusiwa kwa EDWARD LOWASSA kujiunga na Umoja huo na hatimaye kuteuliwa kupeperusha bendera ya UKAWA kwenye nafasi ya Urais, wamejitokeza watu na baadhi ya vyombo vya habari kujaribu kumdhalilisha kiongozi huo ambaye alikijengea heshima kubwa Chama chake cha CUF.

Bahati mbaya kabisa, pamoja na kwamba watu hawa wanamlengo mmoja, wanatoka chama kimoja na wanafahamiaana na hata kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, bado wameshindwa kujipanga na kuandika angalau kitu kinachofaana ili fitina zao kwa LIPUMBA ziweze kuwa na ukweli wowote.

YERIKO NYERERE anasema account ya prof. Lipumba iliyoko NMB Tawi la TEGETA kwenye jengo la AKIBA Complex imewekea pesa bil.3.5 . nilitegemea kama anajua aina ya benki, Tawi na hata jengo ambalo Prof. amewekewa pesa, basi ni dhahiri hata namba ya Account atakuwa anaijua, jina la AKAUNTI, siku na hata muda ambao pesa hizo ziliwekwa. Kutaja tu NMB , sijui tawi la Tegeta ni kutuchota akili watanzania kwa vile ni kweli kwenye jengo lile kuna benki ya NMB basi tuwamini kuwa anachoksema ni kweli.

Ni uzushi uleule ambao Yeriko alitaka kumzushia Dr. SLAA kuwa anajiandaa kukutana na secretarieti ya CHADEMA ili kupanga mikakati ya ushindi, uzushin ambao Dr. aliukanusha na kumuonya YERIKO asithubutu kuchezea jina lake.

SAID KUBENEA naye anajikanyaga na SABABU lukuki za kwanini Prof. LIMPUMBA amejiuzulu.
Mara oh, amejiuzulu ili kulinda ajira ya mmoja wa maswahiba wake serikalini, mara amejiuzulu kwa sababu ameahidiwa madaraka makubwa katika serikali ijayo endapo CCM itashinda, mara Prof. amejiuzulu kwa sababu UKAWA wamemkaribisha LOWASSA ndani ya Umoja huo. Anajikanyagakanyaga tu huku watu anaowatuhumu kufanya hivyo ni wale wale aliokuwa akiwashambulia bila ushahidi wowote tangu enzi ziiile za kmwagiwa tindikali, tangu enzi ziile za ugomvi wake na Zitto Kabwe.

Kwa kifupi kubenea hana jipaya. eti haijulikani LIPUMBA kahongwa shilingi ngapi ila inasemekana ni bil.3.7. Uongo uliokomaa, huna uhakika sasa hicho kiasi anakitoa wapi, au kwa sababu YERIKO na uzushi wake kasema bil.3.5 basi anaona naye akaribie kiasi hicho ili kutuaminisha hivyo? account ipi zimewekwa, saa ngapi, lini? na nani?
KUBENEA kama siasa zake ni nyepesi kiasi hiki atamuweza kweli DIDAS MASABURI pale Ubungo?

GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA, leo 10/08/2015 (nadhani nalo linamilikiwa na haohao), eti Prof. Lipumba alifuatwa na viongozi wa dini ya Kiislamu akishinikizwa kugombea urais kupitia CUF kwa kile kilichoelezwa kuwa na kundi hilo kuwa kuokoa kura za Waislamu zisipotee bure kwa madai kuwa vyama vya CCM na CHADEMA vimeteua wagombea Makafiri yaani Wakristo.

Hivi huku siyo kuwatukana Wailamu kweli? Ikumbukwe kuwa ujio wa LOWASSA ndani ya UKAWA umefuatiwa na TUHUMA za baadhi ya viongozi wa UKAWA kununuliwa na LOWASSA ili akubaliwe kujiunga na umoja huo.

Kutaka kufunika tuhuma hizo kwa kuwachafua Dr. SLAA na Prof. LIPUMBA ni kutowatendea haki viongozi hao ambao leo hii umaarufu wa vyama vyao unatokana na juhudi zao za kuvijenga.
Anajidhalilisha mwenyewe huyu
 
Back
Top Bottom