MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
Mfuate Lipumba maana kila shetani ana mbuyu wake..Wewe wako Lipimba sisi wetu tunao
Bavicha kirefu chake ni Baraza la vichaa chadema. Hawa vichaa wameajiriwa ili kupambana humu Jf. Ni kupoteza muda kujibizana nao. Pia kina Pr. Lipumba ndio malezi waliyowalea hawa jamaa,uongo na uzushi,hivyo hakuna cha ajabu na profesa unakula ulichopanda. Hao ni nyumbu,akienda mmoja huku na hao tiiiiiiiiiim
Baada ya alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na mwenyekiti wa wenyeviti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) , Prof. Ibrahim Harouna Lipumba kujiuzulu nafasi yake ya mwenyekiti wa CUF kutokana na kutokubaliana na viongozi wengine wa chama hicho na wale wa UKAWA kuhusu kuruhusiwa kwa EDWARD LOWASSA kujiunga na Umoja huo na hatimaye kuteuliwa kupeperusha bendera ya UKAWA kwenye nafasi ya Urais, wamejitokeza watu na baadhi ya vyombo vya habari kujaribu kumdhalilisha kiongozi huo ambaye alikijengea heshima kubwa Chama chake cha CUF.
Bahati mbaya kabisa, pamoja na kwamba watu hawa wanamlengo mmoja, wanatoka chama kimoja na wanafahamiaana na hata kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, bado wameshindwa kujipanga na kuandika angalau kitu kinachofaana ili fitina zao kwa LIPUMBA ziweze kuwa na ukweli wowote.
YERIKO NYERERE anasema account ya prof. Lipumba iliyoko NMB Tawi la TEGETA kwenye jengo la AKIBA Complex imewekea pesa bil.3.5 . nilitegemea kama anajua aina ya benki, Tawi na hata jengo ambalo Prof. amewekewa pesa, basi ni dhahiri hata namba ya Account atakuwa anaijua, jina la AKAUNTI, siku na hata muda ambao pesa hizo ziliwekwa. Kutaja tu NMB , sijui tawi la Tegeta ni kutuchota akili watanzania kwa vile ni kweli kwenye jengo lile kuna benki ya NMB basi tuwamini kuwa anachoksema ni kweli.
Ni uzushi uleule ambao Yeriko alitaka kumzushia Dr. SLAA kuwa anajiandaa kukutana na secretarieti ya CHADEMA ili kupanga mikakati ya ushindi, uzushin ambao Dr. aliukanusha na kumuonya YERIKO asithubutu kuchezea jina lake.
SAID KUBENEA naye anajikanyaga na SABABU lukuki za kwanini Prof. LIMPUMBA amejiuzulu.
Mara oh, amejiuzulu ili kulinda ajira ya mmoja wa maswahiba wake serikalini, mara amejiuzulu kwa sababu ameahidiwa madaraka makubwa katika serikali ijayo endapo CCM itashinda, mara Prof. amejiuzulu kwa sababu UKAWA wamemkaribisha LOWASSA ndani ya Umoja huo. Anajikanyagakanyaga tu huku watu anaowatuhumu kufanya hivyo ni wale wale aliokuwa akiwashambulia bila ushahidi wowote tangu enzi ziiile za kmwagiwa tindikali, tangu enzi ziile za ugomvi wake na Zitto Kabwe.
Kwa kifupi kubenea hana jipaya. eti haijulikani LIPUMBA kahongwa shilingi ngapi ila inasemekana ni bil.3.7. Uongo uliokomaa, huna uhakika sasa hicho kiasi anakitoa wapi, au kwa sababu YERIKO na uzushi wake kasema bil.3.5 basi anaona naye akaribie kiasi hicho ili kutuaminisha hivyo? account ipi zimewekwa, saa ngapi, lini? na nani?
KUBENEA kama siasa zake ni nyepesi kiasi hiki atamuweza kweli DIDAS MASABURI pale Ubungo?
GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA, leo 10/08/2015 (nadhani nalo linamilikiwa na haohao), eti Prof. Lipumba alifuatwa na viongozi wa dini ya Kiislamu akishinikizwa kugombea urais kupitia CUF kwa kile kilichoelezwa kuwa na kundi hilo kuwa kuokoa kura za Waislamu zisipotee bure kwa madai kuwa vyama vya CCM na CHADEMA vimeteua wagombea Makafiri yaani Wakristo.
Hivi huku siyo kuwatukana Wailamu kweli? Ikumbukwe kuwa ujio wa LOWASSA ndani ya UKAWA umefuatiwa na TUHUMA za baadhi ya viongozi wa UKAWA kununuliwa na LOWASSA ili akubaliwe kujiunga na umoja huo.
Kutaka kufunika tuhuma hizo kwa kuwachafua Dr. SLAA na Prof. LIPUMBA ni kutowatendea haki viongozi hao ambao leo hii umaarufu wa vyama vyao unatokana na juhudi zao za kuvijenga.
hivi kuna mtu anawaza porojo???? sisi tunasonga mbele na Lowassa tafuteni kwanza ufalme wa Ikulu mengine yote tutayapata kwa baadaye october 26, ndio tutaanza kuchambua wakati magodoro ya JK wakipakiwa kutoka pahala pa UKAWA.
mnahangaika na fisadi lenu mnadhani kunarais hapo hilo kuku lenu la kizungu.
Anajidhalilisha mwenyewe huyuBaada ya alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na mwenyekiti wa wenyeviti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) , Prof. Ibrahim Harouna Lipumba kujiuzulu nafasi yake ya mwenyekiti wa CUF kutokana na kutokubaliana na viongozi wengine wa chama hicho na wale wa UKAWA kuhusu kuruhusiwa kwa EDWARD LOWASSA kujiunga na Umoja huo na hatimaye kuteuliwa kupeperusha bendera ya UKAWA kwenye nafasi ya Urais, wamejitokeza watu na baadhi ya vyombo vya habari kujaribu kumdhalilisha kiongozi huo ambaye alikijengea heshima kubwa Chama chake cha CUF.
Bahati mbaya kabisa, pamoja na kwamba watu hawa wanamlengo mmoja, wanatoka chama kimoja na wanafahamiaana na hata kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, bado wameshindwa kujipanga na kuandika angalau kitu kinachofaana ili fitina zao kwa LIPUMBA ziweze kuwa na ukweli wowote.
YERIKO NYERERE anasema account ya prof. Lipumba iliyoko NMB Tawi la TEGETA kwenye jengo la AKIBA Complex imewekea pesa bil.3.5 . nilitegemea kama anajua aina ya benki, Tawi na hata jengo ambalo Prof. amewekewa pesa, basi ni dhahiri hata namba ya Account atakuwa anaijua, jina la AKAUNTI, siku na hata muda ambao pesa hizo ziliwekwa. Kutaja tu NMB , sijui tawi la Tegeta ni kutuchota akili watanzania kwa vile ni kweli kwenye jengo lile kuna benki ya NMB basi tuwamini kuwa anachoksema ni kweli.
Ni uzushi uleule ambao Yeriko alitaka kumzushia Dr. SLAA kuwa anajiandaa kukutana na secretarieti ya CHADEMA ili kupanga mikakati ya ushindi, uzushin ambao Dr. aliukanusha na kumuonya YERIKO asithubutu kuchezea jina lake.
SAID KUBENEA naye anajikanyaga na SABABU lukuki za kwanini Prof. LIMPUMBA amejiuzulu.
Mara oh, amejiuzulu ili kulinda ajira ya mmoja wa maswahiba wake serikalini, mara amejiuzulu kwa sababu ameahidiwa madaraka makubwa katika serikali ijayo endapo CCM itashinda, mara Prof. amejiuzulu kwa sababu UKAWA wamemkaribisha LOWASSA ndani ya Umoja huo. Anajikanyagakanyaga tu huku watu anaowatuhumu kufanya hivyo ni wale wale aliokuwa akiwashambulia bila ushahidi wowote tangu enzi ziiile za kmwagiwa tindikali, tangu enzi ziile za ugomvi wake na Zitto Kabwe.
Kwa kifupi kubenea hana jipaya. eti haijulikani LIPUMBA kahongwa shilingi ngapi ila inasemekana ni bil.3.7. Uongo uliokomaa, huna uhakika sasa hicho kiasi anakitoa wapi, au kwa sababu YERIKO na uzushi wake kasema bil.3.5 basi anaona naye akaribie kiasi hicho ili kutuaminisha hivyo? account ipi zimewekwa, saa ngapi, lini? na nani?
KUBENEA kama siasa zake ni nyepesi kiasi hiki atamuweza kweli DIDAS MASABURI pale Ubungo?
GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA, leo 10/08/2015 (nadhani nalo linamilikiwa na haohao), eti Prof. Lipumba alifuatwa na viongozi wa dini ya Kiislamu akishinikizwa kugombea urais kupitia CUF kwa kile kilichoelezwa kuwa na kundi hilo kuwa kuokoa kura za Waislamu zisipotee bure kwa madai kuwa vyama vya CCM na CHADEMA vimeteua wagombea Makafiri yaani Wakristo.
Hivi huku siyo kuwatukana Wailamu kweli? Ikumbukwe kuwa ujio wa LOWASSA ndani ya UKAWA umefuatiwa na TUHUMA za baadhi ya viongozi wa UKAWA kununuliwa na LOWASSA ili akubaliwe kujiunga na umoja huo.
Kutaka kufunika tuhuma hizo kwa kuwachafua Dr. SLAA na Prof. LIPUMBA ni kutowatendea haki viongozi hao ambao leo hii umaarufu wa vyama vyao unatokana na juhudi zao za kuvijenga.