Prof. Lipumba amewaimarisha CUF, amewatangaza UKAWA

Prof. Lipumba amewaimarisha CUF, amewatangaza UKAWA

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Wrong timing. Kujiuzulu kwa Prof. Lipumba hakujasaidia chochote kama ilivyopangwa. Prof. Lipumba amekosea mambo kadhaa katika filamu yake ya kujiuzulu Uenyekiti wa CUF. Kwanza, amejiuzulu nafasi ya Uenyekiti na kubaki mwananchama wa kawaida hotelini. Alipaswa kuongea na wafuasi wake chamani mwake na ndipo ajiuzulu. Kujiuzulu ni jambo la kawadia,tatizo ni muda na namna ya kufanya hivyo.

Pili, Prof. Lipumba asingesafiri siku hiyo hiyo ya kujiuzulu. Angebaki kwanza ili asemwesemwe na kuandikwaandikwa kwenye media halafu ndiyo asafiri. Kitendo cha kujiuzulu na kusafiri siku hiyo hiyo kimejaza mashaka na machale kuliko uhakika wa kile. Waandaaji wa filamu yake hapa napo waliteleza na hawakuweza kupaona. Kumewaagusha na kusawajisha malengo ya chama.

Kutokana na shaka ya uhakika katika kujiuzulu kwake, Prof Lipumba ameiimarisha CUF na kuitangaza UKAWA. Filamu yake haina thamani kwa waandaaji. Imekosa soko. Kwa wabobezi tunajua kilichomuondoa Prof. Lipumba.

Kwanza,wivu wake kuwa kila anayehamia UKAWA,anahamia CHADEMA. Pili, kuchokwa kwake ndani ya CUF kama Mwenyekiti. Tatu, kutaka mambo mengi na kuonekana kuliko wengine ndani ya UKAWA.

Mambo hayo yakajenga ufa katika msimamo wake. Ufa ukatumika kupenyezea rupia. Filamu ikaandaliwa ingawa imewaangusha waandaaji. Filamu ingepangwa na kupangika vyema, muda huu tungekuwa na sherehe za ushindi. Ametuangusha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Wrong timing. Kujiuzulu kwa Prof. Lipumba hakujasaidia chochote kama ilivyopangwa. Prof. Lipumba amekosea mambo kadhaa katika filamu yake ya kujiuzulu Uenyekiti wa CUF. Kwanza, amejiuzulu nafasi ya Uenyekiti na kubaki mwananchama wa kawaida hotelini. Alipaswa kuongea na wafuasi wake chamani mwake na ndipo ajiuzulu. Kujiuzulu ni jambo la kawadia,tatizo ni muda na namna ya kufanya hivyo.

Pili, Prof. Lipumba asingesafiri siku hiyo hiyo ya kujiuzulu. Angebaki kwanza ili asemwesemwe na kuandikwaandikwa kwenye media halafu ndiyo asafiri. Kitendo cha kujiuzulu na kusafiri siku hiyo hiyo kimejaza mashaka na machale kuliko uhakika wa kile. Waandaaji wa filamu yake hapa napo waliteleza na hawakuweza kupaona. Kumewaagusha na kusawajisha malengo ya chama.

Kutokana na shaka ya uhakika katika kujiuzulu kwake, Prof Lipumba ameiimarisha CUF na kuitangaza UKAWA. Filamu yake haina thamani kwa waandaaji. Imekosa soko. Kwa wabobezi tunajua kilichomuondoa Prof. Lipumba. Kwanza,wivu wake kuwa kila anayehamia UKAWA,anahamia CHADEMA. Pili, kuchokwa kwake ndani ya CUF kama Mwenyekiti. Tatu, kutaka mambo mengi na kuonekana kuliko wengine ndani ya UKAWA.

Mambo hayo yakajenga ufa katika msimamo wake. Ufa ukatumika kupenyezea rupia. Filamu ikaandaliwa ingawa imewaangusha waandaaji. Filamu ingepangwa na kupangika vyema, muda huu tungekuwa na sherehe za ushindi. Ametuangusha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Well said.
 
Et amepewa mrungura na ccm hivyo kahamuwa kuwa tosa ndio mahana kakimbia nchi
 
Ameimarisha cuf ipi toka awe mwenyekit hakuwah kuzid wabunge watatu???
 
Unajua bado sijaelewa, hivi professa, amenunuliwa kwa Tsh 3.5 Bilioni halafu hizo ndio zimtoshe kuishi nje ya nchi? Mbona hiyo pesa ni kidogo sana kwa mtu wa level yake na tena nje ya nchi? Halafu shida nyingine ni hi hapa; kama hi tamthiria haiuziki sokoni, anafikiria hao wahisani (ccm) wataendelea kum finance wakati biashara yao imebuma? Kweli wasomi ni chakula ya wanasiasa!
 
Unajua bado sijaelewa, hivi professa, amenunuliwa kwa Tsh 3.5 Bilioni halafu hizo ndio zimtoshe kuishi nje ya nchi? Mbona hiyo pesa ni kidogo sana kwa mtu wa level yake na tena nje ya nchi? Halafu shida nyingine ni hi hapa; kama hi tamthiria haiuziki sokoni, anafikiria hao wahisani (ccm) wataendelea kum finance wakati biashara yao imebuma? Kweli wasomi ni chakula ya wanasiasa!

Lipumba kacheza picha kama ilivyo andaliwa na Producer (ccm) hivyo kama imebuma sio kosa la sterling bali la Producer. Ndio maana pengine hata yeye alitaka mshiko wake wote kwa mpigo hakuna cha baadae ili kama picha isipouzika wasidaiane.
Kibaya ni kuwa mtu ukijijengea heshima yako kwa miaka mingi ni aibu kuiuza kwa vipande vya fedha.
 
Wrong timing. Kujiuzulu kwa Prof. Lipumba hakujasaidia chochote kama ilivyopangwa. Prof. Lipumba amekosea mambo kadhaa katika filamu yake ya kujiuzulu Uenyekiti wa CUF. Kwanza, amejiuzulu nafasi ya Uenyekiti na kubaki mwananchama wa kawaida hotelini. Alipaswa kuongea na wafuasi wake chamani mwake na ndipo ajiuzulu. Kujiuzulu ni jambo la kawadia,tatizo ni muda na namna ya kufanya hivyo.

Pili, Prof. Lipumba asingesafiri siku hiyo hiyo ya kujiuzulu. Angebaki kwanza ili asemwesemwe na kuandikwaandikwa kwenye media halafu ndiyo asafiri. Kitendo cha kujiuzulu na kusafiri siku hiyo hiyo kimejaza mashaka na machale kuliko uhakika wa kile. Waandaaji wa filamu yake hapa napo waliteleza na hawakuweza kupaona. Kumewaagusha na kusawajisha malengo ya chama.

Kutokana na shaka ya uhakika katika kujiuzulu kwake, Prof Lipumba ameiimarisha CUF na kuitangaza UKAWA. Filamu yake haina thamani kwa waandaaji. Imekosa soko. Kwa wabobezi tunajua kilichomuondoa Prof. Lipumba.

Kwanza,wivu wake kuwa kila anayehamia UKAWA,anahamia CHADEMA. Pili, kuchokwa kwake ndani ya CUF kama Mwenyekiti. Tatu, kutaka mambo mengi na kuonekana kuliko wengine ndani ya UKAWA.

Mambo hayo yakajenga ufa katika msimamo wake. Ufa ukatumika kupenyezea rupia. Filamu ikaandaliwa ingawa imewaangusha waandaaji. Filamu ingepangwa na kupangika vyema, muda huu tungekuwa na sherehe za ushindi. Ametuangusha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

mtu ana ratiba zake asisafiri kisa.... kujiuzulu kumbe ni filamu hebu tukae tayari kwa part two a akirud kutoka RWANDA nahisi itakuwa tamu zaid
 


Kutokana na shaka ya uhakika katika kujiuzulu kwake, Prof Lipumba ameiimarisha CUF na kuitangaza UKAWA. Filamu yake haina thamani kwa waandaaji. Imekosa soko. Kwa wabobezi tunajua kilichomuondoa Prof. Lipumba.

Mkuu VUTA-NKUVUTE mi binafsi napenda kuona mawaza yako hapa, pia sio kwamba ninafurahia ukiikosoa CCM bali kwa mtazamo wako, wewe unaweza kuwa mwanachama bora zaidi wa CCM kwa wale ninaowaona memberz humu, kama mzee Rwaitama.

Ila hapo kwenye RED, ningeomba uitanue kwa maelezo kidogo....tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Lipumba alijua fika angeikoroga ukawa kwa kung"ang"ania apitishwe yeye kwenye ukawa ama isambaratike, hakujua maskini kumbe tayari wenye ajili zao wanajua yy sio mwenzao!!!! hakutegemea pia ujio wa lowassa, imekuwa kama suprise sio kwa lipumba tu bali hata ss ccm wenzake ndo maana kila kinachofanyika saiv kinakuwa kama maigizo tu, hata hili la lipumba ni igizo tu
 
Maembr basi hapo rohoo inazidi muuma baba ana roho mbaya yule
 
Back
Top Bottom