THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,775
- 15,129
Uzinifu wa Slaa unakuwa defined kwenye kitabu kipi na aya ipi?
Na kwa nini 'uzinifu' wa Slaa uwe ndio kigezo cha kutokuwa Rais na unawaimbia mapambio wezi, wabadhirifu, makatili, wahuni wengi wengine? Kwenye kitabu gani na sura ipi pameandikwa mzinifu asiwe rais ila mwizi, mla rushwa, mwongo na fisadi ni sawa kwa Urais?
Padre akiwa rais anakuwa Pope? Sheikh akiwa rais ndio nini? Mbona wakristo hawana tatizo? Woga huu waislam unatokana na nini? Wakristo hawawaogopi waislam, mbona nyie mna hofu sana na Wakristo? Mna agenda gani dhidi ya UKRISTO Tanzania?Hatuna hofu na mkristo.
Tusichotaka ni kuona Padre Askofu Sheikh Imam anakua rais wa nchi hii.
Hilo hatulitak.
Hao watu wabakie kuongoza ibada tuh.
Siasa waziache kwa wanasiasa.
Ni kweli Saccos inakufa na ina hali mbaya sana kwa sasa kuliko wakati na kipindi chochote kile. mzito muislamu safi lakini anayepiga tusker lager kaondoka na ushindi wetu, unakumbuka mwaka 2009 saccos ilishinda serikali za mitaa kwa 01% pekee? nasikia sasa hivi saccoss imeshinda kwa 35% kwenye uchaguzi wa SM.
Endeleeni kujenga saccoss yenu na nyie inayoitwa Agizo la Chama Tawala.
Hahahahahaha lipumba anataka kuitwa msaliti sasa,hajui kuwa ni kosa la jinai kutangaza nia ukiwa na ushirikiano na Chadema?Amuulize Zitto ndo atajua kuwa mbowe na slaa ni shida pale sakosini.
Kwa nini nyinyi mumnyime JK kura 2010 kisa tu ni muislam? Sisi hatuna woga bali hatutaki dhulma na ukandamizaji jua kwenye uislam ni haram muislam kukubali kudhulumiwa au kukandamizwa misingi mliyokaiasisi nchi hii na mwl. Nyerere ni kutukandamiza waislam sasa tukichoka hapatakarika ndicho tusichokitaka hicho.
Prof. Lipumba
CUF haijashuka ni chama ambacho kime maintain position ile ile ya mmiaka yote
tofauti na iyo saccos ya mtei
Kamanda mbona umepanic ghafla hebu kunywa kiroba kimoja cha jogoo mnavopewa Ufipa munkari utapungua.The big choo
Taja kabila lako tuone kama mna akili kuliko wachaga.Ni kweli mkuu.
Hawa wachaga hawawez kutuzid akili hata siku moja.
sometime nacheka tu. LIPUMBA WILL NEVER NE A PRESIDENT OF THIS COUNTRY AS WELL AS SLAA... hivininyi mafikria ni mchezo tu? well angalau Dr SLaa Lipumba kiukweli tumeshachoka naye jaman miaka 25 yote unataka urais unazidi kuporomoka tu bado hujiwazii? hawa wasomi wetu mbona hawawazi kama wasomi? msomi angekuwa ameshajua kuwa wananchi hawamtaki.
Mvuto upi? Au unatafuta kuolewa! Hatuhitaji uzuri wa sura kwa upstairs Lipumba yuko juu kuliko watia nia wote watakaojitokeza Kupitia UKAWA.