Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,477
Lipumba ongelea masuala ya cuf muache Maalimu Seif...!
Binafsi sina hata fikra kuwa kuna TV inaitwa TBC. Wakati pekee ambao huwa naweza kuiona ni pale ninapotembelea kwa watu wengine, kwenye maofisi au viwanja vya ndege. Na hata huko, huwa sipotese kuzingatia chochote kinachotamkwa kwa kuoitia TV hiyo.TBC nina miaka zaidi ya sita sijapoteza mda wangu kuitazama..
Una moyo na maini bibie sio kwa ujasiri huo😂😂😂😂 mie nipo chumban ila namskia na msauti wake km kafukiwa kwenye pumba!...natetemeka kwa basira tu...labda watoe namba tupige tutoe maoni yetu tushushe hsira kupitia yy😤
Atakuwa na ukichaa. Ofisi ambazo watu wenye majengo yao walikuwa wanajitolea kuwapa CUF, atazipigania kwa njia gani kama mwenye jengo lake akiamua kuwapa ACT?Prof. Lipumba anasisitiza ofisi za CUF nchini kote ni mali ya chama cha CUF na sio mali ya mtu, hivyo amelaani kitendo cha watu kupora ofisi za CUF na kuzigeuza ni za ACT, amesema atazipigania ofisi hizo ambalo ni mali halali ya CUF, lazima zibaki CUF.
Una moyo na maini bibie sio kwa ujasiri huo
HahahahaNilishawahi mwambia mke wangu siku nikirudi nikakuta wanaangalia TBC huo ndio utakuwa mwisho wa kuangalia TV maana nitaipandisha darini
Hivi leo ni weekend?Lipumba ongelea masuala ya cuf muache Maalimu Seif...!
Pascal, huyo mtu ni sawa na mchawi aliyemtoa mwanaye kafara kwa wachawi wenzie.Prof. Lipumba amesema kazi kubwa ya kwanza ya chama chake ni kuwaleta pamoja wanachama wake, kuwa kitu kimoja kujenga chama.
👅👅👅👅👅...natawa😊Hivi leo ni weekend?
Nimechekaaaa.Unatawa kumbe?Hapo hakuna namna,msikilize propesa Lipumba👅👅👅👅👅...natawa😊
Nikae niangalie TBC sidhani,kama ni kodi yangu wacha ipotee,bora nicheki TV za kenya,.