simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Anaumwa huyu,wanachama wote wametimkia ACT.Prof. Lipumba amesema kazi kubwa ya kwanza ya chama chake ni kuwaleta pamoja wanachama wake, kuwa kitu kimoja kujenga chama.
Anaumwa huyu,wanachama wote wametimkia ACT.Prof. Lipumba amesema kazi kubwa ya kwanza ya chama chake ni kuwaleta pamoja wanachama wake, kuwa kitu kimoja kujenga chama.
Wanabodi,
Pamoja na tuhuma za baadhi ya wanabodi kutotaza TBC kwa hoja kuwa ina boa, lakini hii ndio TV yetu pekee inayoendeshwa kwa kodi zetu, hivyo kutazama TBC sio issue ya choice bali ni wajibu, hivyo tutimize wajibu wetu kuangalia TBC.
Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa mujibu wa Msajili wa Vyama Siasa, na kwa mujibu wa Mahakama, Prof. Ibrahim Lipumba, yuko live TBC kwenye kipindi cha Jambo.
Natoa wito, karibuni tumsikilize.
Paskali
Duh sijui nifanyeje ili nione maneno ya Mr Lipumbafu kwani TBC niliipiga ban kwa msaada wa DSTV H/q duh, ila kuiangalia hii TV station ni kujitia mkosi asubuhi hii, utatusimulia pumba zake atakazotoaWanabodi,
Pamoja na tuhuma za baadhi ya wanabodi kutotaza TBC kwa hoja kuwa ina boa, lakini hii ndio TV yetu pekee inayoendeshwa kwa kodi zetu, hivyo kutazama TBC sio issue ya choice bali ni wajibu, hivyo tutimize wajibu wetu kuangalia TBC.
Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa mujibu wa Msajili wa Vyama Siasa, na kwa mujibu wa Mahakama, Prof. Ibrahim Lipumba, yuko live TBC kwenye kipindi cha Jambo.
Natoa wito, karibuni tumsikilize.
Paskali
Umma wa Tanganyika na Zanzibar tuko nyuma ya Maalim Seif, tunamuelewa sana.Sasa wameweka kipande cha Maalim Seif Akitangaza kuhamia ACT, kwa msisitizo kuwa "umma haujawahi kushindwa hata mara moja", hivyo Maalim Seif anaamini umma utashinda ndani ya ACT Wazalendo.
My Take ya Lipumba, ningekuwa mimi, ningejiepusha na kusema jambo lolote negative kumhusu Maalim Seif, Lipumba anajua fika kuna watu wanamuabudu Maalim Seif, hivyo akisema anything kumhusu muabudu huyu, watamuona kama amekufuru.
Wanabodi,
Pamoja na tuhuma za baadhi ya wanabodi kutotaza TBC kwa hoja kuwa ina boa, lakini hii ndio TV yetu pekee inayoendeshwa kwa kodi zetu, hivyo kutazama TBC sio issue ya choice bali ni wajibu, hivyo tutimize wajibu wetu kuangalia TBC.
Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa mujibu wa Msajili wa Vyama Siasa, na kwa mujibu wa Mahakama, Prof. Ibrahim Lipumba, yuko live TBC kwenye kipindi cha Jambo.
Natoa wito, karibuni tumsikilize.
Paskali
Huyu muhuni anastahili kusomewa albadiri.My Take ya Lipumba, ningekuwa mimi, ningejiepusha na kusema jambo lolote negative kumhusu Maalim Seif, Lipumba anajua fika kuna watu wanamuabudu Maalim Seif, hivyo akisema anything kumhusu muabudu huyu, watamuona kama amekufuru.
mie nipo chumban ila namskia na msauti wake km kafukiwa kwenye pumba!...natetemeka kwa basira tu...labda watoe namba tupige tutoe maoni yetu tushushe hsira kupitia yy
Nilishawahi mwambia mke wangu siku nikirudi nikakuta wanaangalia TBC huo ndio utakuwa mwisho wa kuangalia TV maana nitaipandisha dariniWanabodi,
Pamoja na tuhuma za baadhi ya wanabodi kutotaza TBC kwa hoja kuwa ina boa, lakini hii ndio TV yetu pekee inayoendeshwa kwa kodi zetu, hivyo kutazama TBC sio issue ya choice bali ni wajibu, hivyo tutimize wajibu wetu kuangalia TBC.
Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa mujibu wa Msajili wa Vyama Siasa, na kwa mujibu wa Mahakama, Prof. Ibrahim Lipumba, yuko live TBC kwenye kipindi cha Jambo.
Natoa wito, karibuni tumsikilize.
Paskali
Prof. Lipumba anasisitiza ofisi za CUF nchini kote ni mali ya chama cha CUF na sio mali ya mtu, hivyo amelaani kitendo cha watu kupora ofisi za CUF na kuzigeuza ni za ACT, amesema atazipigania ofisi hizo ambalo ni mali halali ya CUF, lazima zibaki CUF.
Msikilize wewe utatuambia kasemaje.Wanabodi,
Pamoja na tuhuma za baadhi ya wanabodi kutotaza TBC kwa hoja kuwa ina boa, lakini hii ndio TV yetu pekee inayoendeshwa kwa kodi zetu, hivyo kutazama TBC sio issue ya choice bali ni wajibu, hivyo tutimize wajibu wetu kuangalia TBC.
Mwenyekiti wa CUF Taifa kwa mujibu wa Msajili wa Vyama Siasa, na kwa mujibu wa Mahakama, Prof. Ibrahim Lipumba, yuko live TBC kwenye kipindi cha Jambo.
Natoa wito, karibuni tumsikilize.
Paskali
Ni mpuuzi labda huwo ujuha wake aufanyie bara. Zanzibar kashalimwaga haliwezi akalizowa tena.Prof. Lipumba amesema kazi kubwa ya kwanza ya chama chake ni kuwaleta pamoja wanachama wake, kuwa kitu kimoja kujenga chama.
Sasa kashachiwa chama kelele za nin tena.Lipumba amemshutumu Maalim Seif kwa kusema analeta usultani, anachotaka yeye tuu ndicho, hivyo kitendo cha kuhamia ATC chama chenye sera tofauti kabisa na malengo ya CUF, huko sasa kutakuwa ni kumfuata mtu kama usultani na sio kufuata sera au itikadi.
Lipumba ni mwenye kit wa msajili na mahakama lakni si wa waanchi kama mnavyojiaminisha.Mayalla Mtendee haki Prof.Lipumba .Lipumba kachaguliwa kwa kura kwenye mkutano mkuu wa Taifa kuwa mwenyekiti .kumwita wa msajili au mahakama sio sahihi
Jana nilikuwa nimekaa na Waziri pamoja na afisa mkubwa wa TIS. Waziri ni rafiki yangu. Nikamwuliza,Lipumba amemshutumu Maalim Seif kwa kusema analeta usultani, anachotaka yeye tuu ndicho, hivyo kitendo cha kuhamia ATC chama chenye sera tofauti kabisa na malengo ya CUF, huko sasa kutakuwa ni kumfuata mtu kama usultani na sio kufuata sera au itikadi.
Duh sijui nifanyeje ili nione maneno ya Mr Lipumbafu kwani TBC niliipiga ban kwa msaada wa DSTV H/q duh, ila kuiangalia hii TV station ni kujitia mkosi asubuhi hii, utatusimulia pumba zake atakazotoa
Sent using Jamii Forums mobile app