Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Kitila aliitembelea mitaa mbalimbali ya kata hiyo kunadi sera, kueleza aliyotekeleza, kusema atakayofanya akishinda, kusikiliza changamoto na kutoa majibu ya suluhu zake.
Katika kuendelea na kampeni hizo Kitila alikutana na mabondia ambao pia ni wafanyabiashara katika soko la Ndizi Mabibo na kuwasikiliza huku wakimueleza kuwa wanahitaji kuungwa mkono ili kuweza kuwa na sehemu ya mazoezi/mafunzo itakayowasaidia.
Kitila aliahidi kuwasaidia akieleza kuwa fedha za kwanza atakazopewa za mfuko wa jimbo atawakumbuka mabondia hao.
Katika kuendelea na kampeni hizo Kitila alikutana na mabondia ambao pia ni wafanyabiashara katika soko la Ndizi Mabibo na kuwasikiliza huku wakimueleza kuwa wanahitaji kuungwa mkono ili kuweza kuwa na sehemu ya mazoezi/mafunzo itakayowasaidia.
Kitila aliahidi kuwasaidia akieleza kuwa fedha za kwanza atakazopewa za mfuko wa jimbo atawakumbuka mabondia hao.