GE2025 Prof. Kitila: Nitatatua changamoto ya usafiri wa mwendokasi Kimara

GE2025 Prof. Kitila: Nitatatua changamoto ya usafiri wa mwendokasi Kimara

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Huyu naye kama alikuwa hayupo Dar hivi miaka yote hiyo, leo hii ndio aseme atatatua changamoto ya mwendokasi

Kwamba siku zote alikuwa wapi? Uongo mwingine ni wakishamba sana. Analipambania tumbo lake tu hapo hakuna lolote
====================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameendelea na ziara yake ya kampeni katika jimbo hilo.

Akiwa mgeni rasmi katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani Kata ya Kimara, Mtaa wa Kirunge, Prof. Kitila amewahakikishia wakazi wa eneo hilo na ukanda mzima wa Kimara hadi Manzese kuwa changamoto ya usafiri wa mwendokasi iko mbioni kupatiwa suluhu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema tayari Serikali imeagiza mabasi 177 mapya ya mwendokasi, ambayo yanatarajiwa kuwasili nchini mwanzoni mwa mwezi Novemba

 
kuwa kiongozi mbogo ni kazi rahisi sana.

Yaani yeye ameona mabasi kuwa na AC na internet ndio jambo la kuwashangaza wananchi
Wakati wananchi wanashangaa mabasi yamekuja na hayajaanza kazi.

Halafu huyu kawa mbunge kwa miaka mitano sasa hajawahi kuongelea mradi huu wa mwendokasi. Leo kwenye kampeni ndio anakumbuka.
 
Kitila anatuonaje?
Kwani mwendo kasi ilipofeli mpaka kufa, mbunge wa Ubungo alikua nani?
Mbona huyu jamaa alikua na akili sana alipokua UDSM? WHAT WENT WRONG?
 
Huyu naye kama alikuwa hayupo Dar hivi miaka yote hiyo, leo hii ndio aseme atatatua changamoto ya mwendokasi

Kwamba siku zote alikuwa wapi? Uongo mwingine ni wakishamba sana. Analipambania tumbo lake tu hapo hakuna lolote
====================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameendelea na ziara yake ya kampeni katika jimbo hilo.

Akiwa mgeni rasmi katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani Kata ya Kimara, Mtaa wa Kirunge, Prof. Kitila amewahakikishia wakazi wa eneo hilo na ukanda mzima wa Kimara hadi Manzese kuwa changamoto ya usafiri wa mwendokasi iko mbioni kupatiwa suluhu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema tayari Serikali imeagiza mabasi 177 mapya ya mwendokasi, ambayo yanatarajiwa kuwasili nchini mwanzoni mwa mwezi Novemba

Tusidanganyane, mbunge hana uwezo wa kutatua changamoto ya usafiri wa Mwendokasi. Anachoweza ni yeye na familia yake tu kutopanda Mwendokasi kwa vile kuna magari ya Serikali anayotumia kama waziri
 
Wakati akiongea hayo yeye si mtumiaji wa hiyo BRT...
 
Huyu naye kama alikuwa hayupo Dar hivi miaka yote hiyo, leo hii ndio aseme atatatua changamoto ya mwendokasi

Kwamba siku zote alikuwa wapi? Uongo mwingine ni wakishamba sana. Analipambania tumbo lake tu hapo hakuna lolote
====================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameendelea na ziara yake ya kampeni katika jimbo hilo.

Akiwa mgeni rasmi katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani Kata ya Kimara, Mtaa wa Kirunge, Prof. Kitila amewahakikishia wakazi wa eneo hilo na ukanda mzima wa Kimara hadi Manzese kuwa changamoto ya usafiri wa mwendokasi iko mbioni kupatiwa suluhu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema tayari Serikali imeagiza mabasi 177 mapya ya mwendokasi, ambayo yanatarajiwa kuwasili nchini mwanzoni mwa mwezi Novemba

Kuongoza wa Tz rahisi sana danganya miaka 60 wanakushangilia tuuuu.....miaka 5 sasa yupo amefanya nini? Wamepewa watoto Saa 100 waje wageme uchumi wote walalahoi Mofat na gas zote za RA yeye anasema ushuzii wakeee
 
Back
Top Bottom