Prof. Kitila Mkumbo arejea rasmi CCM

Wacha alambe matapishi yake. Awamu ya magu ikiisha ndio atajua nyekundu sio nyeusi karibu uraiani!
 
Mkuu yani kungekuwa na sehemu ya kurepost, kwa kweli hii comment yako ningerepost hata mara 900 na ingependeza zaidi!
Prof. Njaa imehamia kichwani..!
 
hivi katibu mkuu au mfanyakazi wa serikali anaruhusiwa kujionyesha au kukiri hadharani yeye ni mwanachama wa chama cha siasa?
 
Pole Zitto
 

Attachments

  • 20171117_204143.png
    68.4 KB · Views: 45
Sugu alishasema "wanamaliza miti",akirejelea Prof moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…