Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari pamoja na wafanyakazi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meneja wa Emirates katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014
Ile ndege ambayo Mramba alikuwa radhi tule majani ili inunuliwe iko gereji au!!
Siku ishirini Kikwete atatumia zaidi ya milioni mia moja kwa matanuzi!!
Ile ndege ambayo Mramba alikuwa radhi tule majani ili inunuliwe iko gereji au!!
Siku ishirini Kikwete atatumia zaidi ya milioni mia moja kwa matanuzi!!
Akili za wanaccm hizi.Kilaza wewe misaada kwa ajili ya familia yako huwa unaombea wapi?Ilikuwaje matonya mkawa mnamrudisha Dodoma hali yeye,rais wako na wewe mwenyewe akili ni moja
Tena siku hizi wafadhili wametuchoka wanatuletea hata wachoma mahindi na wakaangaji panzi/senene. Yaani nasubiri kwa hamu kuona kina Snoopy, Lil Wayne, na wapuuzi wengine kuja kuwekeza kwenye kiko/pipes za kuvutia bangi. Yaani hii nchi tunasanifiwa ile mbaya mpaka majirani wanatucheka.