KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,477
- 2,360
Mbinu za Makonda ni Kali sana na huwa zinaleta matokeo chanya kila Mara Ingawa wasomi wanaokariri sheria na wanasiasa feki humjia juu.
Huyu Makonda Anatakiwa atutengenezee wananchi kitabu kizuri cha kurejea Mara kwa Mara pale sheria zinaposhindwa kutatua matatizo ya jamii. Ebu fikiri kwa kina motto hajala.anaumwa, hana safe za shule halafu mjtu Fulani analazimisha iwe siri sasa hapo siri yanini wakati IPO wazi tayari.
Sheria za hovyohovyo zinazotumia falisafa za watu Wa magharibi zifanyiwe marekebisho.Kwa wale wanasheria kumbukeni tu kuwa kufa njaa au na ugonjwa siyo siri maana tutakwenda kuzika na laxima tujue sababu ya kifo.
Huyu Makonda Anatakiwa atutengenezee wananchi kitabu kizuri cha kurejea Mara kwa Mara pale sheria zinaposhindwa kutatua matatizo ya jamii. Ebu fikiri kwa kina motto hajala.anaumwa, hana safe za shule halafu mjtu Fulani analazimisha iwe siri sasa hapo siri yanini wakati IPO wazi tayari.
Sheria za hovyohovyo zinazotumia falisafa za watu Wa magharibi zifanyiwe marekebisho.Kwa wale wanasheria kumbukeni tu kuwa kufa njaa au na ugonjwa siyo siri maana tutakwenda kuzika na laxima tujue sababu ya kifo.