Sakhalala
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 575
- 445
Na wao hawakumhoji yeye bali walikuwa wanawahoji ujumbe wa EU ulioko huku bongo. Sikilza vizuri clip. Hata hivyo nashangaa leo Mtendaji wa serikali anahamaki na mambo ya mitandaoni. Nafikiri balozi alijibu vizuri kwani suala lenyewe bado liko kwenye mijadala na sidhani kama kuna official complains kutoka EU kwenda serikali yetu. Hapo ndipo Waziri amepotoka kuhamaki wakati hakuna formal complains.Mnakuza mambo out of proportions, hiyo watu wachache / wahuni aliisema by the way. Lakini pia , wao si ndio walitoa hiyo pesa? Sasa kuanza kutuhoji tulipewajr huo ni uhuni tu, hababaishwi mtu!