Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Yaani hawa jamaa ni shida tupu ni wazuri sana kwenye kupindisha mambo, Ukimwangalia Kabudi usoni jinsi alivyo mkavu utajua anachosema ni kweli kumbe ni uzushi mtupu.Kwa kweli hawa jamaa hawafai,wanakomaa kusema mbuzi ni kondoo na kondoo ni mbuziWana lumumba watakataa hilo, hata iwekwe wazi barua ya alieomba huo msaada tena kwa kutumia uongo/ulaghai, bado watakataa.