johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
- Thread starter
-
- #21
Wanaposema uchaguzi umechakachuliwa, Je hicho ni kimiminika?!"Kuchakachua maana yake ni kuchanganya kimiminika kisicho na ubora na kile chenye ubora ili kuongeza thamani."
Kwani kuchakachua imetumika tofauti na hichi alichomaanisha ?
"Najua umenizidi umri ila neno Pumbavu linanitoka haraka haraka "
hayo umesema wewe lakini tunategemea KATİBA MPYA kutoka kwa Prof.Kabudi kama akishika madaraka makubwa zaidiKabudi akipata madaraka ya juu kabisa ya nchi, atakuwa Dikteta mmoja hatari hajawahi kutokea Afrika!
Na neno jalalaMbona ajasema maana ya neno pu'''m''vu kwa kiswahili fasaha 😯😯😯😯😯😯😯
Ndiyo maana ya usemi ndege wafananao huruka pamoja! Sikushangaa alipodai kaepuliwa jalalani ila kinachonishangaza ni hapo alipo sasa hivi, je nako si jalalani? Tusije tukashangaa kesho maelezo yakitolewa kwamba neno jalala tafsiri yake inapotoshwa na kwamba linatumika visivyo. Vya jalalani ni heri vikabaki jalalani, huku nje havikosi kutoa harufu.Kabudi akipata madaraka ya juu kabisa ya nchi, atakuwa Dikteta mmoja hatari hajawahi kutokea Afrika!
Hahahaa....... Kwani kutongoza wake za watu siyo uharibifu?!
Kwani neno moja lazima liwe na maana moja ?Wanaposema uchaguzi umechakachuliwa, Je hicho ni kimiminika?!
Punguza chuki shekh kila mtu na bahati yakeMgogo na Kiswahili wapi na wapi?
Asili ya neno Fisadi ni neno la kiarabu yenye maana ya Haribifu
Hata kwny Qur an neno fisadi linatamkwa kama neno lenye kuashiria uharibifu katika Ardhi
Tatizo la huyu mipovu ni kuamini anajua kila kitu
huyo mgogo ana tabu sana, anajifanya kujua kila kituMgogo na Kiswahili wapi na wapi?
Asili ya neno Fisadi ni neno la kiarabu yenye maana ya Haribifu
Hata kwny Qur an neno fisadi linatamkwa kama neno lenye kuashiria uharibifu katika Ardhi
Tatizo la huyu mipovu ni kuamini anajua kila kitu
Utakuwa unamaanisha pilipili!Kwani neno moja lazima liwe na maana moja ?
Nikisema wewe ni mbuzi nitakuwa nimemaanisha mnyama au kunio la nazi ?
Ewaaaaa ndio maana mnaitwa wapumbavuUtakuwa unamaanisha pilipili!
Hata wewe ni mpumbavu kwa namna moja au nyingine usisahau hilo!Ewaaaaa ndio maana mnaitwa wapumbavu
Kwa kiswahili zinakuaje hizo?Kwenye lugha kuna kitu kinaitwa Semantic broadening na Semantic narrowing.
Nitarudi
M.pumbavu yeyemwandishi wa habari yeye, nguli wa sheria yeye, mtaalamu wa kiswahili yeye.
kabudi wewe ni kiongozi mwandamizi serikalini na sio mhadhiri wa chuo, acha tabia ya ku 'behave' kama uko darani na watu wote ni wanafunzi wako, huku duniani kuna watu vichwa zaidi yako na wanakuchora tu unavyotema matango pori . Focus kwenye kazi yako mzee.
Kwahyo anayetongoza wake za watu sio mharibifu?Mgogo na Kiswahili wapi na wapi?
Asili ya neno Fisadi ni neno la kiarabu yenye maana ya Haribifu
Hata kwny Qur an neno fisadi linatamkwa kama neno lenye kuashiria uharibifu katika Ardhi
Tatizo la huyu mipovu ni kuamini anajua kila kitu
kabudi kalibana hilo neno...kalifanya maana yake ni mtongozaji tu wakati si kweliKwahyo anayetongoza wake za watu sio mharibifu?