Kujiita mtanganyika ni ubaguzi mkubwa kwa wazanzibar, maana tunatakiwa kuungana hata ikibidi Africa iwe moja. Wewe unaleta mambo ya Tanganyika. Nb: hakuna mahali nimeandika tufuate historia. Nimesema kama hujui historia utajidharau, be smart to understand the line.Umebaguliwa kwa kitu kipi?wewe umeandika tufate historia sasa nimeandika historia unanita mbaguzi,na ile tanganyika law society je nao ni wabaguzi
Mazungumzo bado yanaendeleaMatokeo ya makinikia vipi?
Mimi ni Mtanganyika kweli lakini Tanganyika yangu imeporwa na hawa wahuni wachache kwa maslahi yao binafsiWewe ni mtanganyika na mpak siku ya wewe kupewa uhuru na wakoloni ipo.
Empty words, watu wa maneno mengi kama hawa hawanaga tofauti na waziri Charles mwijage.
Kama upi mkuuMh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Liko wazi kitambo tuMark my words RAIS WA 2025 NI HUSSEIN MWINYI
Hajashindwa kujibu.Hajajibu jawabu unalotaka wewe.Nyani Ngabi leo kazi ilikua kutabasamu na kupiga makofi. huku akijipoza vitu vyao vinavyopigwa mnada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda tuulize matangazo hayo amelipia na kama yamelipiwa, yametoa kodi.Tatizo sio kulipa kodi, hamna raia asiyejua kodi ni jambo muhimu. Tatizo ni wao kutaka kutumia mamlaka yao vibaya kukwepa kodi kwa expense ya wananchi wanaohitaji huduma!.
Kwa hiyo mtanganyika ni tusi ila mzanzibar sio tusi,hemu acha kupapatika mkuu,wewe ni mtanganyika period.Kujiita mtanganyika ni ubaguzi mkubwa kwa wazanzibar, maana tunatakiwa kuungana hata ikibidi Africa iwe moja. Wewe unaleta mambo ya Tanganyika. Nb: hakuna mahali nimeandika tufuate historia. Nimesema kama hujui historia utajidharau, be smart to understand the line.
Sent using Jamii Forums mobile app