jilogamawepyee
Member
- Aug 11, 2018
- 57
- 48
sitashangaa maana urais wa Tanzania ni kazi nyepesi sana zaidi ya karatasi, siku hizi kila mmoja anauweza, na wapiga kula wetu ndo hawa wenye sifa ya kuwa mtanzania uliyetimiza vigezo wa kupiga kura,
Basi sasa Mwijage naye aweza kuwa RaisMh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Umbeya mbay sanaMh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
ina maana tunaendelea na huyu mpaka 2025?Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Zamu ya Zanzibar kwa bara hadi 2035 mtapata tabu sanaMh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Bora taifa likose raisi kuliko usemayoMh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Mark my words RAIS WA 2025 NI HUSSEIN MWINYI
Liko wazi kitambo tu
CCM haina historia ya kupata mgombea wa urais aliyetegemewa na wengi ila nafikiri Prof. Mbarawa anaweza kuwa Rais ama Zanzibar au muungano.
kwa lipi kuu alilokwishalifanyia taifa au chama chake,Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Watanzania kweli ila kauli ya marehemu Jomo Kenyatta yahusika.Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.