Tetesi: Prof Kabudi anaweza kuwa next president of Tanzania 2025

Prof Kabudi ndie next president to next generation. Huyu ndie Magu anapaswa kuwa nae karibu kwa kutengeneza good succession plan. Mark my words Prof is the next 6th president. Japo wengi tunataka Magu aongozw 15 years
 
Prof Kabudi ndie next president to next generation. Huyu ndie Magu anapaswa kuwa nae karibu kwa kutengeneza good succession plan. Mark my words Prof is the next 6th president. Japo wengi tunataka Magu aongozw 15 years
huu ni ukweli ila mchungu sana. Jamaa anamudu mijadala mpaka raha
 
Prof Kabudi ndie next president to next generation. Huyu ndie Magu anapaswa kuwa nae karibu kwa kutengeneza good succession plan. Mark my words Prof is the next 6th president. Japo wengi tunataka Magu aongozw 15 years
Ben saanane mmeshammaliza?
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.
[/QUOTE
Mh. Kabudi ni moja ya prof. ninayomkubali sana hapa Africa Mashariki pamoja na PLO Lumumba hawa jamaa ni wazalendo na wanautendea haki uprof. wao. Ukiwatanzama mchoni wakati wanaongea jambo sensitive utagundua kabisa kuwa linatoka mayoni na wanamaanisha hivyo sitashanga yeyote kat kati ya hawa wawili akaja kuwa raisi nchini kwake.
 
Prof Kabudi ndie next president to next generation. Huyu ndie Magu anapaswa kuwa nae karibu kwa kutengeneza good succession plan. Mark my words Prof is the next 6th president. Japo wengi tunataka Magu aongozw 15 years

Rais wa Awamu ya Sita atakuwa Makame Mnyaa Mbarawa!
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.
Yani wewe unataka tutawaliwe na mpumbavu? Seriously?
 
Anaongea sana tena kwa speed kiasi anakuwa kama nyumbu! Kuanguka na kuvunjika likely!
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.
Kabudi kawaharibia maprofesa wote hawafai hata kuwa wawakilishi kwenye ngazi za jamii
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.

Rais anachaguliwa hateuliwi,
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.
uzuri wa siasa za ccm ni kuwa mwenyekiti muda wako unapikalibia kuisha na nguvu yako ndani ya mfumo wa siasa tawala huishia hapo, hakuna raisi aliefanikiwa kumuweka mtu anayemkubali yeye nyerere alifanikiwa 1885 kumuweka mzee ruksa akataka kafanya hivo 1995 akashindwa..Mkapa alijaribu 2005 chaguo lake likiwa mzee salim Ahmed salim lakini akazidiwa vilevile nguvu ikawa hana budi kumuunga mkono mkwele, hata jakaya 2015 magufuli hakuwa chaguo lake ila mfumo wa chama ukamzidi nguvu....vivo hivo magufuli 2025 akijaribu kuwa na mgombea wake mfukoni hata weza
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.
God forbid!
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.


Kafanya lipi tena?
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.
Mtu ninaye mwona anaweza kurudi kirahisi ni kikwete maana anakubalika pande zote ndani na nje na hata kwa wapinzani atafsnya kama putin
 
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.

Ile nyota ya mh Prof Kabudi inazidi kung'ara mithili ya nyota ya asubuhi. Naili ku proof maneno yangu jana tarehe 03.03.2019 Rahisi amempa kuwa. Waziri wa mambo. Ya nje hii ni Dalili tosha Prof amekuna moyo wa Mkuu wa nchi. Na niukweli usio pingika jamaa ataenda kufanya maajabu maana hajawahi shindwa
Prof Kabudi ni jemendari wa aina hii ya siasa.
Hata Muhongo alijiona untouchable sasa hivi chali. Nyoka hana rafiki.
 
Back
Top Bottom