Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mtaa wa Kimara Matangini kimeandaa mkutano mkubwa, utakao fanyika katika viwanja vya Kimara mwisho stand siku ya tarehe 1/05/2015.
Mgeni rasmi katika mkutano huo atakua prof J.
Upatapo tarifa hi mjulishe na mwenzio karibu sana.