Prof j.k kikwete kesho atakuwa moshi.

Prof j.k kikwete kesho atakuwa moshi.

Status
Not open for further replies.
10922671_10152656540197621_1902049897217571013_n.jpg
 
Karibu zako Mtukufu Rais wetu Dr. Prof. Mjeshi, JK Moshi. Natamani useme neno moja tu kuhusu Escrow Mtukufu Rais wetu mpendwa watanzania tunasubiri mno kile kiporo chetu ulituahidi tutanywea chai baada ya ule mkutano wako na wazee wetu pale Diamond. Mtukufu Rais, si vibaya ukasema pia na wazee wa Moshi leo kuwa upelelezi umefikia wapi. Usinielewe vibaya Baba yangu, ni masikio yanawasha tangu siku ile ya tatu. Moyo unalia nku nku nkuu
 
....prof...kwani si alikuwa dr...haikumtosha?...je anaweza sasa kutupa formula ya kuruka na kutoka duniani?
 
Karibu zako Mtukufu Rais wetu Dr. Prof. Mjeshi, JK Moshi. Natamani useme neno moja tu kuhusu Escrow Mtukufu Rais wetu mpendwa watanzania tunasubiri mno kile kiporo chetu ulituahidi tutanywea chai baada ya ule mkutano wako na wazee wetu pale Diamond. Mtukufu Rais, si vibaya ukasema pia na wazee wa Moshi leo kuwa upelelezi umefikia wapi. Usinielewe vibaya Baba yangu, ni masikio yanawasha tangu siku ile ya tatu. Moyo unalia nku nku nkuu
Mwambieni REGINALD MENGI awepo kesho ili rais aongelee ya Muhongo, mzee wa kazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom