ELIJAH KING Jr
Member
- Feb 22, 2011
- 21
- 1
Habari za ukweli kesho prof atakuwa Moshi Mjini kama Mgeni rasmi katika shughuli ya kumsimika Askofu wa KKKT
Mleta mada kisha kula viroba, rais ni mgeni rasmi kwenye sherehe hizo siyo yeye anayysimika.Kani Askofu anasimikwa na Rais? Toka lini Tanzania tunafuata mfumo Kristo?
Wewe Chabruma ma.. Ta... Ko .. Yako kwani lazima u comment kila kitu shwaini mkubwa weweKani Askofu anasimikwa na Rais? Toka lini Tanzania tunafuata mfumo Kristo?
Mleta mada atakuwa BAVICHA, hao jamaa viroba vimewaathiri sana.Amealikwa kuwa mgeni rasmi tu
Umevurugwa, rais ni mgeni rasmi, hasimiki askofu, hilo siyo jukumu lake.
Hahaa, kwani kwani kuna mada kwa ajili ya watu fulani pekee! Acha kumuonea CHABRUMA.Wewe Chabruma ma.. Ta... Ko .. Yako kwani lazima u comment kila kitu shwaini mkubwa wewe
Mleta mada atakuwa BAVICHA, hao jamaa viroba vimewaathiri sana.
Mkuu, Akili ya kusema rais anamsimika askofu ndiyo kubwa?acha kutumia akili ndogo
Huyu Chabruma kabumaaaWewe Chabruma ma.. Ta... Ko .. Yako kwani lazima u comment kila kitu shwaini mkubwa wewe
Mkuu, matusi ya nini tena? Me nimeuliza tu swali. Kama huna jibu ni bora ukae kimyaWewe Chabruma ma.. Ta... Ko .. Yako kwani lazima u comment kila kitu shwaini mkubwa wewe
Kwani wewe unaleta nini kama si siasa?yaani wewe kila kitu siasa tu bure kabisa
tumia akili dogoMkuu, Akili ya kusema rais anamsimika askofu ndiyo kubwa?
Siyo hivyo mkuu, uzoefu unaonesha mada ambazo hazina kichwa wala miguu huwa zinawekwa na wahuni wa BAVICHA, sasa tangu lini rais akamsimikaaskofu kama siyo ulevi?yaani wewe kila kitu siasa tu bure kabisa
Mkuu, hawa jamaa ni watu wa ajabu sana. Sijui wana lengo gani kuanzisha mada then wanaogopa watu tukichangiaHahaa, kwani kwani kuna mada kwa ajili ya watu fulani pekee! Acha kumuonea CHABRUMA.
Nakubaliana na wewe Mkuu. Niliuliza swali wa ustaarabu mkubwa ila nashangaa majibu niliyopewa!Siyo hivyo mkuu, uzoefu unaonesha mada ambazo hazina kichwa wala miguu huwa zinawekwa na wahuni wa BAVICHA, sasa tangu lini rais akamsimikaaskofu kama siyo ulevi?
Saaa kama kweli ndo umetumia akili hivyo basi wewe mbururatumia akili dogo