ufisadi wakuuza nyumba za Jamhuri nimkubwa sana kupata kutokea,nina uwakika bomu hili likija lipuka,madhara yake kisiasa yatasambaaa kuanzia Kwa mkapa,mawaziri,wakuu wa mikoa,wilaya, viongozi wa na makada mbalimbali wa xxm, na vyama vingine vya upinzani, ndio Mana viongozi wengi aidha wa upinzani au toka chama tawala hawalizingumziii, Prof Safari ashawahi kuliongelea hakupata support kubwa nje na ndani ya upinzani, ktk ufisadi huu wakutapanya Mali ya Jamhuri km kuku alievamia mahindi yaliyo anikwa hii ni kwasabb ufisadi huu umewanasa wengi....