Profesa Anna Tibaijuka: Kumaliza tatizo la machinga kuwe na adhabu iwekwe kwa wanaonunua ovyo barabarani

Mbunge wa zamani wa jimbo la Muleba Prof Anna Tubaijuka amesema tatizo la machinga halitaisha kwa kutoa amri na kuwafukuza mbali bunge linatakiwa kukaa na kutunga sheria yenye adhabu kwa wateja wanaopenda kununua bidhaa hovyo mabarabarani.

Prof Tibaijuka amesema wamachinga hufuata wateja na kama hamna wateja hutamuona machinga kwenye hilo eneo hivyo serikali lazima ijikite kubadilisha utamaduni wa wanunuzi wawe wananunua kwenye masoko maalumu yalitengwa na siyo kununua hovyo hovyo mabarabarani.


Sera nyingi siyo shirikishi,Sera ambazo siyo shirikishi huwa hazifanikiwi,hahaha! Wahuni! Fulani wanajifungia
 
Mbunge wa zamani wa jimbo la Muleba Prof Anna Tubaijuka amesema tatizo la machinga halitaisha kwa kutoa amri na kuwafukuza mbali bunge linatakiwa kukaa na kutunga sheria yenye adhabu kwa wateja wanaopenda kununua bidhaa hovyo mabarabarani.

Prof Tibaijuka amesema wamachinga hufuata wateja na kama hamna wateja hutamuona machinga kwenye hilo eneo hivyo serikali lazima ijikite kubadilisha utamaduni wa wanunuzi wawe wananunua kwenye masoko maalumu yalitengwa na siyo kununua hovyo hovyo mabarabarani.

Huyu mama huyu si ndo waligawana pesa kwenye magunia na kutukebei kuwa ni vijisenti au sio huyu mwehuu
 
Kauli ya hovyo kabisa! Halafu eti huyo ni professor?!

Wamachinga wengi wako sehemu ambazo watu wanapita mfano maeneo ya “waenda kwa miguu” sasa huyu mama anataka polisi ama mgambo wakae pembeni ya hao machinga kuvizia watu wanaopita na kununua bidhaa za hao wamachinga? Akili ya wapi hii? Tena anasema bunge likae na kutunga sheria.

Kama huyu mama ndiyo yule aliyekana kupewa pesa na Rugemalila, basi nina wasiwasi huenda amechanganyikiwa tayari akili yake haiko sawa.

Huwezi kuwakamata hao endapo wamachinga watakuwa wameondolewa, inaonyesha anataka wabakie halafu wanunuzi ndiyo waanze kuviziwa wakinunua wakamatwe. Duh!
Hilo wazo lake ni sahihi sana. Ila kulielewa, ni lazima mtu awe na akili kubwa.
 
nadhani nimemuelewa zaidi kwa kukusaidia tatizo la machinga ni kubwa kuliko majawabu waliyonayo wakubwa zetu so long wanunuzi watakua wapo machinga wataendeleakuwapo milele
Huwezi kuifuta biashara ya umalaya, kama wateja wa umalaya wapo.

Ikiwekwa hiyo sheria itakuwa na faida kwa pande zote tatu:

1) machinga waliopo maeneo yaliyotengwa, watapata wateja

2) watumiaji wa barabara hawatakuwa na usumbufu

3) Serikali itaweza kuwatambua wamachinga kiurahisi.
 
Kauli ya hovyo kabisa! Halafu eti huyo ni professor?!

Wamachinga wengi wako sehemu ambazo watu wanapita mfano maeneo ya “waenda kwa miguu” sasa huyu mama anataka polisi ama mgambo wakae pembeni ya hao machinga kuvizia watu wanaopita na kununua bidhaa za hao wamachinga? Akili ya wapi hii? Tena anasema bunge likae na kutunga sheria.

Kama huyu mama ndiyo yule aliyekana kupewa pesa na Rugemalila, basi nina wasiwasi huenda amechanganyikiwa tayari akili yake haiko sawa.

Huwezi kuwakamata hao endapo wamachinga watakuwa wameondolewa, inaonyesha anataka wabakie halafu wanunuzi ndiyo waanze kuviziwa wakinunua wakamatwe. Duh!
 
And how does this work out ?,

Haoni kwamba huko ni kuongeza kazi za kufanya ?, Na watakaopewa adhabu kama ni faini wakishindwa kulipa twende tukawafunge ili kodi zetu ndio ziwalishe ?

Au wapewe community service na tuajiri watu tuwalipe kwa pesa zetu hili kusimamia hawa wanunua vitu barabarani ? Au hii ni kuongezea rushwa na ulaji kwa mgambo / wasimimizi kwa kunyanyasa watu ili wawaachie wakishikwa kwa kununua vitu barabarani; By the way barabarani ni wapi ?

Huku ni kutafuta shortcut badala ya kuondoa mzizi wa tatizo (ajira) wanaleta ngonjera na Paukwa Pakawa...
 
Kauli ya hovyo kabisa! Halafu eti huyo ni professor?!

Wamachinga wengi wako sehemu ambazo watu wanapita mfano maeneo ya “waenda kwa miguu” sasa huyu mama anataka polisi ama mgambo wakae pembeni ya hao machinga kuvizia watu wanaopita na kununua bidhaa za hao wamachinga? Akili ya wapi hii? Tena anasema bunge likae na kutunga sheria.

Kama huyu mama ndiyo yule aliyekana kupewa pesa na Rugemalila, basi nina wasiwasi huenda amechanganyikiwa tayari akili yake haiko sawa.

Huwezi kuwakamata hao endapo wamachinga watakuwa wameondolewa, inaonyesha anataka wabakie halafu wanunuzi ndiyo waanze kuviziwa wakinunua wakamatwe. Duh!
Ukikamata wanunuzi lazima pawepo na shaidi pamoja na risiti ya manunuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa zamani wa jimbo la Muleba Prof Anna Tubaijuka amesema tatizo la machinga halitaisha kwa kutoa amri na kuwafukuza mbali bunge linatakiwa kukaa na kutunga sheria yenye adhabu kwa wateja wanaopenda kununua bidhaa hovyo mabarabarani.

Prof Tibaijuka amesema wamachinga hufuata wateja na kama hamna wateja hutamuona machinga kwenye hilo eneo hivyo serikali lazima ijikite kubadilisha utamaduni wa wanunuzi wawe wananunua kwenye masoko maalumu yalitengwa na siyo kununua hovyo hovyo mabarabarani.

Ukinunua bidhaa dai risiti ukiuza bidhaa toa risiti. Naunga mkono hoja ya Prof.
 
Hoja dhaifu...

Kwa hiyo watakuja kukamata mpaka wale wanopita nyumba kwa nyumba na shangazi kaja zao...
 
huyu mama nadhani akili zimemruka,

kwa jinsi anavyopenda madaraka,

yupo tayari kutusi hata mababu zake mradi tu apate share ya ufisadi.

a disgrace.
 
Mbunge wa zamani wa jimbo la Muleba Prof Anna Tubaijuka amesema tatizo la machinga halitaisha kwa kutoa amri na kuwafukuza mbali bunge linatakiwa kukaa na kutunga sheria yenye adhabu kwa wateja wanaopenda kununua bidhaa hovyo mabarabarani.

Prof Tibaijuka amesema wamachinga hufuata wateja na kama hamna wateja hutamuona machinga kwenye hilo eneo hivyo serikali lazima ijikite kubadilisha utamaduni wa wanunuzi wawe wananunua kwenye masoko maalumu yalitengwa na siyo kununua hovyo hovyo mabarabarani.

Maprof wa vich.
..pi hao,pia kuna phd za vich..pi
 
Back
Top Bottom