mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,221
- 4,693
Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia aina moja ya muziki hapa Bongo
Leo Producer Lamar kaintroduce aina mpya ya muziki hapa bongo, kaleta kitu wanachofanya kina David Gueita, ni muziki wa kupigwa kwenye club zaidi haswa za Ulaya.
Wadau wa muziki wa kibongo mnaionaje hii kitu,
Kitabadili upepo wa muziki wetu?
Kitaleta mapinduzi mapya kama walivyowahi kufanya Kameta na Takeu,Dunga na Kapuka?
Leo Producer Lamar kaintroduce aina mpya ya muziki hapa bongo, kaleta kitu wanachofanya kina David Gueita, ni muziki wa kupigwa kwenye club zaidi haswa za Ulaya.
Wadau wa muziki wa kibongo mnaionaje hii kitu,
Kitabadili upepo wa muziki wetu?
Kitaleta mapinduzi mapya kama walivyowahi kufanya Kameta na Takeu,Dunga na Kapuka?