Producer: Harmonize aombe msamaha

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
17,028
Reaction score
23,691
Producer wa Kenya aliyeibiwa beat na Harmonize amtaka Harmonize aombe msamaha la sivyo atafuta hata audio ya Uno baada ya video kufutwa, pia ataenda mahakamani kudai haki yake.
 
Anatafuta kiki kwa kokoteni

Mbona ye kaiba kwa olamide
 
Anatafuta kiki kwa kokoteni

Mbona ye kaiba kwa olamide
Kiki kivp?huyo mkenya Hana masihara asipo angalia vizuri harmonize huyo mkenya atampeleka mahakamani Kama kaweza kufuta video ya uno atashindwa vp kufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…