Procurement and supply

duhuuu yan unakimbia hesabu maana sikuelew!! kama ukiambiwa ipo hautasoma au???
 
perry,o-level nilikuwa na i.11,form6 tena one, so ivii udsm wanatoa kozi ya ba-psm,nakwambia mim ni kipaji originaal
 
asa ulikua unaponda mie nimechaguliwa udsm,kumbe we mwenyewe umechagua vyuo vya kata?
sio siri wewe ni mtu nlikua namwamin sana hapa jamvin...ila hapo kwenye red pamenipotezea iman na wewe...sijafurahishwa na hayo maneno(naiman pia wengi hawajafurahishwa nayo),ukiwa unachangia jali na wengine(usiwakwaze),kumbuka sio kila mtu anayekosa ud hayuko poa..kuna koz zipo kwengine na hapo ud hamna mfano petrolium engineering,survey na architecture hata kilmo(agriculture)....SO WATU KUCHAGUA VYUO VINGINE(UNAVYO VIITA VYA KATA) SI KWAMBA HATUWEZ SOMA UD ILA TUTAKACHO HAKIPO HAPO UNAPAITA UDSM...so fikiri kwanza kabla ya kuropoka na jali wengine pia(usiwakwaze kwa maneno yako).......
 
sio siri wewe ni mtu nlikua namwamin sana hapa jamvin...ila hapo kwenye red pamenipotezea iman na wewe...sijafurahishwa na hayo maneno(naiman pia wengi hawajafurahishwa nayo),ukiwa unachangia jali na wengine(usiwakwaze),kumbuka sio kila mtu anayekosa ud hayuko poa..kuna koz zipo kwengine na hapo ud hamna mfano petrolium engineering,survey na architecture hata kilmo(agriculture)....SO WATU KUCHAGUA VYUO VINGINE(UNAVYO VIITA VYA KATA) SI KWAMBA HATUWEZ SOMA UD ILA TUTAKACHO HAKIPO HAPO UNAPAITA UDSM...so fikiri kwanza kabla ya kuropoka na jali wengine pia(usiwakwaze kwa maneno yako).......
mkuu kausha. Ujue tumeumbwa tofauti.. Hivyo ni kumchukulia poa. #japokuwa na mimi imeniuma,
 
mkuu kausha. Ujue tumeumbwa tofauti.. Hivyo ni kumchukulia poa. #japokuwa na mimi imeniuma,
sio hivyo mkuu unajua hawa watu wanaojiona wao ni wao kwenye hii dunia wanakera sana kuna watu wakipata hayo maneno hawatosoma tena(kwa kujiona hawataweza) kwa sababu ya mtu mmoja,sasa huon hao watu wakiyapata haya maneno atakua amewaharibia malengo yao??!! ifike sehem tumwogope mungu na kujali wengine...
 
sio siri wewe ni mtu nlikua namwamin sana hapa jamvin...ila hapo kwenye red pamenipotezea iman na wewe...sijafurahishwa na hayo maneno(naiman pia wengi hawajafurahishwa nayo),ukiwa unachangia jali na wengine(usiwakwaze),kumbuka sio kila mtu anayekosa ud hayuko poa..kuna koz zipo kwengine na hapo ud hamna mfano petrolium engineering,survey na architecture hata kilmo(agriculture)....SO WATU KUCHAGUA VYUO VINGINE(UNAVYO VIITA VYA KATA) SI KWAMBA HATUWEZ SOMA UD ILA TUTAKACHO HAKIPO HAPO UNAPAITA UDSM...so fikiri kwanza kabla ya kuropoka na jali wengine pia(usiwakwaze kwa maneno yako).......

mkuu lordville na wengne niliowakwaza isipokua mpigamsuli,naomba kufuta kauli yangu.nlitaka 2 mpga msuli nae aumie roho kidogo,maana nae jana alinikwaza sana kwa kauli yake chafu alyoitoa kuhusu chuo nlichochaguliwa mimi.samahanin wote nilio wauzi jaman icpokua mpgamsuli.
 
mkuu lordville na wengne niliowakwaza isipokua mpigamsuli,naomba kufuta kauli yangu.nlitaka 2 mpga msuli nae aumie roho kidogo,maana nae jana alinikwaza sana kwa kauli yake chafu alyoitoa kuhusu chuo nlichochaguliwa mimi.samahanin wote nilio wauzi jaman icpokua mpgamsuli.
hapo sasa ndo umenena perry. Mia
 
mkuu lordville na wengne niliowakwaza isipokua mpigamsuli,naomba kufuta kauli yangu.nlitaka 2 mpga msuli nae aumie roho kidogo,maana nae jana alinikwaza sana kwa kauli yake chafu alyoitoa kuhusu chuo nlichochaguliwa mimi.samahanin wote nilio wauzi jaman icpokua mpgamsuli.
nahiii ndo maana ya GREAT THINKERS...na iwe ivo daima...
 
Nilitaka nidrop some bars hapa nadhani ningebanikwa na mods, ha ha ha ha hah watu walishaanza kutokwa na povu.
 
Back
Top Bottom