Procedures ili uweze kujenga nyumba

Procedures ili uweze kujenga nyumba

Manteeq

Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
14
Reaction score
6
Mambo vp wadau? Ebwana na mpango wa kuanza ujenzi wa nyumba ya gorofa, tatizo naambiwa kuwa ili kujenga nyumba ya gorofa, kuna utaratibu wa kufuata ili kupata kibali, kwamba kuna ishu ya ramani yangu ya nyumba kuipeleka wizara ya ardhi kukaguliwa na procedure nyingine kibao.

Ningependa kujua kama hizi procedure ni zipo kweli, kama ni za lazima au la, na more importantly ni hizo procedure zenyewe ili nijue nianzie wapi na niishie wapi. Website ya wizara ya ardhi haisaidii kabisaa, haina hata information za maana, email nazo zinagoma kwenda na nipo tight kazini kusema kwenda hapo wizarani.

Any help i 'll really appreciate, thanks
 
Unahitaji kuwa na mhandisi atakaesimamia ujenzi. Kama kiwanja kimepimwa lazima uombe kibali cha ujenzi manispaa yako. Otherwise kama hakijapimwa basi mhandisi wako anatosha. Jua kwamba kuna vitu vingi vya kuzingatia kama ukubwa wa nondo, uchangaji wa saruji n.k. hivyo mhandisi ni lazima.
 
So kama hakijapimwa namhitaji mhandisi tu na sio procedures za kwenda wizara ya ardhi?
 
Huna haja ya kwenda wizara ya ardhi. Ila hakikisha kiwanja chako hakimo kwenye mipango miji, hivyo ni muhimu kucheki wizarani kabla hujaanza kukiendeleza.
So kama hakijapimwa namhitaji mhandisi tu na sio procedures za kwenda wizara ya ardhi?
 
Back
Top Bottom