NDESSA
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 1,946
- 1,800
Kwenye ukurasa wa Facebook wa chuo wameweka picha za matukio mbalimbali ya kumuaga mkuu huyo huku picha hzo zikiwa hazijawekewa maelezo (caption) lakini kuna page za baadhi ya staff wamepost huku wakiweka maelezo ya kumuaga mkuu huyo kwa kifupi.
Je mkuu huyu amestaafu au ni uhamisho?
Dr Masika alihamia ATC mwaka 2009 kama Principal akitokea DIT ambapo alikuwa ni Director wa Academic.Amefanya maendeleo makubwa sana tangu afike Arusha kwani alikuta chuo kikiwa katika hali isiyoridhisha.
Je mkuu huyu amestaafu au ni uhamisho?
Dr Masika alihamia ATC mwaka 2009 kama Principal akitokea DIT ambapo alikuwa ni Director wa Academic.Amefanya maendeleo makubwa sana tangu afike Arusha kwani alikuta chuo kikiwa katika hali isiyoridhisha.