B BEATRICE ALFRED New Member Joined Jul 6, 2013 Posts 4 Reaction score 0 Aug 3, 2013 #1 Wajameni niambieni hawa watu wanadili na nini?nimeitwa interview''
Loyal_Merchant JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 623 Reaction score 267 Aug 3, 2013 #2 Mostly wanadeal na telecommunication hasahasa installation ya telecommunication equipments.
B BEATRICE ALFRED New Member Joined Jul 6, 2013 Posts 4 Reaction score 0 Aug 3, 2013 Thread starter #3 Kaka' said: Mostly wanadeal na telecommunication hasahasa installation ya telecommunication equipments. Click to expand... thanx very much
Kaka' said: Mostly wanadeal na telecommunication hasahasa installation ya telecommunication equipments. Click to expand... thanx very much
Loyal_Merchant JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 623 Reaction score 267 Aug 3, 2013 #4 Though yawezekana wakawa wamekuitia kwa nafasi ya uhasibu, HR, Marketing but nature ya kampuni ni kwamba inadeal na installation ya telecom equipments mostly radio/links na BTS za Erricson, All the best katika hiyo interview.
Though yawezekana wakawa wamekuitia kwa nafasi ya uhasibu, HR, Marketing but nature ya kampuni ni kwamba inadeal na installation ya telecom equipments mostly radio/links na BTS za Erricson, All the best katika hiyo interview.
Makala Jr JF-Expert Member Joined Aug 25, 2011 Posts 3,395 Reaction score 1,112 Aug 3, 2013 #5 Watakuitaje kwenye interview bila kuomba kazi?
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Aug 4, 2013 #6 Makala Jr said: Watakuitaje kwenye interview bila kuomba kazi? Click to expand... Umemuuliza kama aliomba au la? Au inawezekana kweli mtu baki tu from nowhere akaitwa kwenye interview pasipo kufanya application? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Makala Jr said: Watakuitaje kwenye interview bila kuomba kazi? Click to expand... Umemuuliza kama aliomba au la? Au inawezekana kweli mtu baki tu from nowhere akaitwa kwenye interview pasipo kufanya application? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
B BEATRICE ALFRED New Member Joined Jul 6, 2013 Posts 4 Reaction score 0 Aug 5, 2013 Thread starter #7 hekimatele said: Umemuuliza kama aliomba au la? Au inawezekana kweli mtu baki tu from nowhere akaitwa kwenye interview pasipo kufanya application? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums Click to expand... noo''niliomba hr''je maswali wanavyo uliza mnayapata''
hekimatele said: Umemuuliza kama aliomba au la? Au inawezekana kweli mtu baki tu from nowhere akaitwa kwenye interview pasipo kufanya application? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums Click to expand... noo''niliomba hr''je maswali wanavyo uliza mnayapata''
P pendo abdallah New Member Joined Mar 26, 2012 Posts 2 Reaction score 0 Aug 13, 2013 #8 Vp beatrice hao prime power washatoa majibu?
F FILBERT MKENDA Member Joined Apr 11, 2013 Posts 10 Reaction score 1 Jan 17, 2014 #9 BEATRICE ALFRED said: Wajameni niambieni hawa watu wanadili na nini?nimeitwa interview''[/QUmambo vip beatrice naomba email ya prime power (T)limited Click to expand...
BEATRICE ALFRED said: Wajameni niambieni hawa watu wanadili na nini?nimeitwa interview''[/QUmambo vip beatrice naomba email ya prime power (T)limited Click to expand...
O Old Member (Retired) JF-Expert Member Joined Sep 29, 2012 Posts 3,401 Reaction score 1,618 Jan 17, 2014 #10 Makala Jr said: Watakuitaje kwenye interview bila kuomba kazi? Click to expand... aliomba lakn hajui alichokiomba
Makala Jr said: Watakuitaje kwenye interview bila kuomba kazi? Click to expand... aliomba lakn hajui alichokiomba