Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,395
Habari zenu wana MMU na JF kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada Preta. Kila nikitaka kumPM naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari Preta niPM basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha