Preta, Preta, Preta.

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,395
Habari zenu wana MMU na JF kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada Preta. Kila nikitaka kumPM naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari Preta niPM basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha
 
Habari zenu wana MMU na JF kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada Preta. Kila nikitaka kumPM naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari Preta niPM basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha

Pepo wa ngono, kama ni mke wa mtu ! acha hiyo tamaa,
 
Hako kaugonjwa uliko nako kanaitwa Obsession...............
Mara nyingi hakana matokeo mazuri, naomba uwatafute wataalamu wa saikolojia ya mahusiano wakusaidie.................
 
Hayakuhuuuuuuu....ndo mana nannhii kakupiga chini ukaja kulia hapa.....hajambo lakini? Baby come back yenu lini au mpaka nimpige chini kwanza? Ujue nshamkinai?

Mimi sijawahi kupigwa chini na shoree. Mi ndo huwa nawamwaga kwa kushindwa kukidhi vigezo na masharti.

Kama yuko kwako who cares? Unakula makombo tu babu J. Na ukiendelea kuambukiza ukimwi watoto wa watu ntakuripoti kwa Kova.
 
Habari zenu wana MMU na JF kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada Preta. Kila nikitaka kumPM naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari Preta niPM basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha

Ungejua huyo ni Bibi mwenye wajukuu!!!.
 
Habari zenu wana MMU na JF kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada Preta. Kila nikitaka kumPM naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari Preta niPM basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha

Naona umeshikwa na kigugumizi
 
habari zenu wana mmu na jf kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada preta. Kila nikitaka kumpm naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari preta nipm basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha
kumbe tupo wengi. Ukipata dawa ya hilo tatizo mkuu tafadhali ni pm kwani kuna kifaa humu jf kinaniua
 
Habari zenu wana MMU na JF kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada Preta. Kila nikitaka kumPM naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari Preta niPM basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha

shida ni nini.....hebu nielezee bayana lililopo moyoni.....
 
Habari zenu wana MMU na JF kwa ujumla. Leo nimeamua kutoa dukuduku langu ni kuhusu huyu mwanadada Preta. Kila nikitaka kumPM naanza vizuri lakini nikifika katikati najikuta nimeifuta msg na kuishia kugonga meza kwa hasira, hata nikikuta amepost kwenye thread hapo ndo kabisaa nahama jukwaa. Sasa najiuliza ni kwa namna gani nitaweza kutalk nae? Kitu pekee nilichofanikiwa ni kum add tu. Tafadhari Preta niPM basi tuongee mawili matatu. Nashindwa kuendelea. . . . .nawasilisha
nilidhani haya mambo yako FB tuu kumbe na huku pia..........
 
avatar yake imekuzuzua nini umeshamuona live lakini?...preta msikilize mwenzio amekufia
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom