Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 313
- 533
Wakuu
Nimesikiliza press ya Jerry muro nimelia sana yn ningekua ndugu yangu luka ningesema nimebubujikwa na machozi
Yani kanavoongea unaona kabisa kama njaa anafukuzia teuzi
Yan mtu kabsa unaitisha press kusema lazma umtetee mtu kwa sababu alikuteua?
Kwahiyo kukuteua tuu imetosha kumtetea?
Vipi wananchi uliowaongoza?
Kwakweli ndugu zangu wachaga mmeaibishwa na Muro
Puwa kabsa yani press yake ni puwa puwa very very
Eti utekaji ulikuepo tangu enzi za Nyerere,kwahyo unamaanisha ni sawa ukiendelea
Puwa😡🤬🤬
Nimesikiliza press ya Jerry muro nimelia sana yn ningekua ndugu yangu luka ningesema nimebubujikwa na machozi
Yani kanavoongea unaona kabisa kama njaa anafukuzia teuzi
Yan mtu kabsa unaitisha press kusema lazma umtetee mtu kwa sababu alikuteua?
Kwahiyo kukuteua tuu imetosha kumtetea?
Vipi wananchi uliowaongoza?
Kwakweli ndugu zangu wachaga mmeaibishwa na Muro
Puwa kabsa yani press yake ni puwa puwa very very
Eti utekaji ulikuepo tangu enzi za Nyerere,kwahyo unamaanisha ni sawa ukiendelea
Puwa😡🤬🤬