Press Conference - CHADEMA HQ

Press Conference - CHADEMA HQ

Status
Not open for further replies.
haraka ya nini mkuu
ndio kwanza saa 8:36 AM.acha kwanza watu wapate breakfast.
 
alisema itafanyika saa sita

Hapo kwenye muda mkuu ndio palinitatiza si unajua sisi huku Kilindi saa hizi inakaribia kabisa saa 4 asubuhi nikajua nimeshapitwaa...! Ahsanteni kwa taarifa ila msisahau muda huo ukifika mumwambie Yericko awahi kama alivyowahi Mahakamani
 
alisema itafanyika saa sita

Saa nne mkuu,makamanda wanaweka mambo sawa hapa ukumbini mambo ya umeme yasilete hitilafu,naskia kuna vituo vya tv watatusha live....
 
haraka ya nini mkuu
ndio kwanza saa 8:36 AM.acha kwanza watu wapate breakfast.

Tulia kamanda pata supu,chai,uji ama chochote kile kwa utulivu kabisa.....jf ipo kwa ajili yako....
 
Hapo ni kelele tu hakuna kingine,kesi ya msingi iko mahakamani inaendelea kesho!!
 
wakirusha live ntafurahi sana kupata fresh news
 
Wanataka ku-derail watu. Acheni kesi itoe majibu ya matatizo yetu
 
Niko hapa Airport mwanza nasubiri kubod naamini nitawahi hcho kikao pia nihudhurie kesi hyo kesho.
 
Dr mkumbo na mwigamba wamenyang'anywa uanachama na marando amerudisha kadi
 
Wakuu tunawaletea habari za moja kwa moja kutoka makao makuu chadema mkutano na waandishi wa habari, maandalizi yanaendelea hapa ukumbini makanda wanaeendelea kujongea.....stay tuned....

Duh. Bado niko kanisani, ndiyo kwanza padri anajiandaa kusoma injili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom