Kweli nimeamini uongozi Kenya ni kula. Bata Kwa kwenda mbeleHahahaha, unawatonesha vidonda wakenya, hawamtaki Uhuru hata kumuona, jambo linalofanya Uhuru kuendelea kubaki madarakani ni kwasababu ni mkikuyu, angekuwa kubila zingine, wakenya wangelikua wamingia barabarani kumfurusha huyo mlevi.
Tofauti ni nyingi kweli, hata kwenye ulinzi. Kuna mmoja ambaye anapambana kila siku na tishio la kigaidi dhidi yake na kuna mwingine ambaye anapambana kuwatishia upinzani kila uchao. Rais wa karne ya 21 Vs. Rais wa karne ya 18.
Hahaha! Alafu hajacaption video yakeSTUPIDITY AT ITS BEST.
Uhuru akiwaaga, na kuwapa bendera ya Kenya timu ya Ting-Il Moo-do
Wakikuyu hao ndio wanaomkubatia, mkenya mwenye akili timamu na ambaye sio mkikuyu hawezi kumkambia mtu aliyeingiza nchi ktk matatizo makubwa kiasi hiki ilipofikia Kenya.Tofauti ni nyingi kweli, hata kwenye ulinzi. Kuna mmoja ambaye anapambana kila siku na tishio la kigaidi dhidi yake na kuna mwingine ambaye anapambana kuwatishia upinzani kila uchao. Rais wa karne ya 21 Vs. Rais wa karne ya 18.
Tofauti ni nyingi kweli, hata kwenye ulinzi. Kuna mmoja ambaye anapambana kila siku na tishio la kigaidi dhidi yake na kuna mwingine ambaye anapambana kuwatishia upinzani kila uchao. Rais wa karne ya 21 Vs. Rais wa karne ya 18.
Wakikuyu hao ndio wanaomkubatia, mkenya mwenye akili timamu na ambaye sio mkikuyu hawezi kumkambia mtu aliyeingiza nchi ktk matatizo makubwa kiasi hiki ilipofikia Kenya.
KWELI HII NDIO SI UNIT OF?Wakikuyu hao ndio wanaomkubatia, mkenya mwenye akili timamu na ambaye sio mkikuyu hawezi kumkambia mtu aliyeingiza nchi ktk matatizo makubwa kiasi hiki ilipofikia Kenya.
UJINGAKWELI HII NDIO SI UNIT OF?
Budaa, unaona hao walinzi wote wa JPM hapo, wako friendly Sana kwa raia wanaokuwa kwenye hafla/shughuli ambazo Rais yupo. Wanaheshimu protocol na viongozi wengine wa ngazi za chini.Tofauti ni nyingi kweli, hata kwenye ulinzi. Kuna mmoja ambaye anapambana kila siku na tishio la kigaidi dhidi yake na kuna mwingine ambaye anapambana kuwatishia upinzani kila uchao. Rais wa karne ya 21 Vs. Rais wa karne ya 18.
Alindwe kwa Kazi gani anayofanya?, au huko kuzunguka dunia "aimlessly" kwenda Jamaica kwa wavuta bangi?Hahaha! Alafu hajacaption video yake Uhuru akiwaaga, na kuwapa bendera ya Kenya timu ya Ting-Il Moo-do
walipoenda kuiwakilisha Kenya kule S.Korea.Timu ya Kenya iliporudi Kenya kutoka S.Korea, na medali tisa! Baada ya kushka nafasi ya pili duniani kwenye mchezo wa Tong-Il Moo-do.Kenya finish second at World Martial Arts Mastership Tong Il Moo Do
Wacheke gave Kenya a silver medal on the last day of the championships.www.the-star.co.ke
Wivu