babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,122
- 27,226
Huwa sipendi kupoteza muda wangu kureply comment zako kwa sababu una utapiamlo wa akili.Sasa si ni Mrusi huyo mmempaka rangi! Same thing unaniletea, nimekwambia leta jina na specs zake.
Tanzania haiwezi kuwa level moja na nchi zinazoteseka na njaa karne hii ya 21 hata baada ya kupata uhuru miaka karibu 60 iliyopita.
Hicho kifaru kimetengenezwa na Kampuni ya Nyumbu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).