Kwani pressure mkuu una umwaje?Mkuu sjawahi umwa presha,maana nna mashine ya BP mara kwa mara huwa napima
Kwani pressure mkuu una umwaje?Mkuu sjawahi umwa presha,maana nna mashine ya BP mara kwa mara huwa napima
Namaanisha presha yangu siku zote ilikua normal yaani huwa Nina mashine ya BP kwa miaka8 Sasa kwaiyo nlikua nautaratibu wakila wiki kujipimaKwani pressure mkuu una umwaje?
1: Ukiumwa, mwili hutoa vichocheo vya kuumwa/stress hormones.Bado sijakuelewa
Wiki kumi na mbili zilishaga pita1: Ukiumwa, mwili hutoa vichocheo vya kuumwa/stress hormones.
2: Stress hormones huuvuruga mwili na kusababisha mtu asiye na pewsha kuonekana na presha na yule aliyekuwa na presha, presha kwenda juu zaidi.
3: Kulingana na chanzo cha kuumwa, stress hormones na madhira yake yanaweza kubaki moaka wiki 12 au zaidi.
Mkuu sjawahi umwa presha,maana nna mashine ya BP mara kwa mara huwa napima
Mkuu sjawahi umwa presha,maana nna mashine ya BP mara kwa mara huwa napima
Ndo kipindi chote Cha miaka7 inachezea chezea hapo hapoNormal range ipo hivi
Systolic Bp 100-140✔️
Diastolic Bp 60-90✔️
Nje ya normal range hiyo wewe ni Hypertensive case
Tell us the reasons behindAchana nayo, husikii? Nenda zahanati yenye hiyo machine kama hiiView attachment 3651226
Hajui ndo imeanza hivyoooKwani pressure mkuu una umwaje?
Hizi digital zina madhira mengi. Inawezekana betri zikiwa weak, vipimo vikayumba. Altitude pia inaziathiri etc Ila zile za zamani za kupampu ndiyo mambo yoteTell us the reasons behind
Anza dawa ndugu ,itashuka hiyoNdo kipindi chote Cha miaka7 inachezea chezea hapo hapo